Unga wasima kilo kasrobo
Sukari nusu
Nazi 2 kubwa kavu
Iliki yaunga kiasi na vanilla kiasi. Utakua Nazi yako
Utakamua tui zito mag moja kubwa na tui jepesi yani matusha jag zima kama mag 8 Alafu chukua sufuria mbili za kiasi moja tia matusha na sukari iliki weka moto ni nahuku utachukua sufuria ya pili uipake mafua kw we mba mba Alafu chukua bakuli safi tia unga na maji vikuba 3 koronga matusha yakianza kuchekiwa tia unga wako ukoronge usiachie mkono utan za kushikana ukikauka tia tui zito na vanilla endelea koronga ukikauka mimina kwenye sufuria ulio paka mafua utachoma moto wajua nachini mpaka upinge rangi utaepua upowe nabaada ya hapo 👌