Notification texts go here Contact Us Buy Now!

mchuzi wa nyama/rosti la nyama (beef curry)

mchuzi wa nyama/rosti la nyama (beef curry)

mahitajii:
*nyama robo
*kitunguu maji kimoja
*viazi mbatata viwili size ya kati
*nyanya kubwa mbili
*curry powder/binzari ya manjano
*chumvi kiasi
*tangawizi na thomu
*pilipili manga
*ndimu (ukipenda)
*mafuta ya kupikia vijiko vitatu vya chakula


JINSI YA KUPIKA:

nimeanza kuikata na kuiweka nyama viungo; niliweka chumvi, curry powder, pilipili manga,  tangawizi na  vitunguu thomu kisha nikaicha kama masaa mawili ili viungo vikolee vizuri nyama iwe na ladha.


baada ya hapo niliiweka jikoni nyama na kuivisha kwa moto mdogo mdogo na kuweka maji kidogokidogo ili nisiharibu ladha mpka ilipoiva.


nyama ilipoiva nikaweka yale mafuta juu yake na kukatia kitunguu humohumo huku nikiwa nakoroga koroga ili isigandie kwenye  sufuria baada ya vitunguu kuwa brown nikaweka viazi na baada ya hapo nikaweka nyanya na kumalizia na vile viungo (spices) bila kusahau chumvi, hapo nikawa naweka maji kidogo kidogo mpaka viazi vilipoiva na mchuzi ukawa tayari.

enjoy !!!!


Nb: wakati wa kuchemsha nyama ukiwa ushaweka viungo au  kuunga mchuzi ukiwa ushaweka  nyanya na viungo usiweke maji mengi kwa wakati mmoja  utaharibu ladha ya viungo.

About the Author

Hello,I am Web Designer and Expert facebooktwitteryoutubeinstagramexternal-link

Chapisha Maoni

Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.