Notification texts go here Contact Us Buy Now!

RAINBOW ICE CREAM

RAINBOW ICE CREAM

.maziwa lita moj

.sukari nusu na 1/4

.corn/casava nusu kikombe

.maziwa ya sona kopo moja

.syrup vijiko 5-6

.cream milk(option)

.rangi za maji

.maji lita tano


*bandika lita moja ya maji jikoni,yakianza kuchemka koroga corn yako kwenye kikombe,kisha weka kwenye

 Maji yaliyo jikoni,acha ichemke kwa dakika tano.


Maziwa kama ni fresh yachemshe kwanza

,kisha acha yapoe,halafu changanya na ile lita nne yaliyobaki,weka na vitu vyote vilivyosalia,koroga vizuri mchanganyiko wako,kisha mimina ile corn yako kwenye hayo huo mchanganyiko


Chukua vibakuli vinne au vitano gawa mchanganyiko wako,kisha weka rangi tofauti tofauti katika kila bakuli anza kumimina kidogo kidogo katika vifuko vyako ili upate hiyo rain bow hakikisha syrup imefanya mchanganyiko wako kua na uzito


Enjoy😋

About the Author

Hello,I am Web Designer and Expert facebooktwitteryoutubeinstagramexternal-link

إرسال تعليق

Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.