Notification texts go here Contact Us Buy Now!

JINSI YA KUPIKA MAANDAZI YA KUOKA

MAANDAZI YA KUOKA (maandazi ya kupambia)

MAANDAZI YA KUOKA

MAHITAJI YA KUPIKA MAANDAZI YA KUOKA

  • °unga wa ngano nusu
  • °Siagi au blueband vijiko 2 vya mchuzi
  • °Vanilla au hiliki ya unga kijiko 1 cha chai
  • °Hamira ya chenga kijiko 1 chai
  • °Chumvi 1/4 kijiko chai
  • °Sukari kijiko cha mchuzi 1 1/4
  • °Maji ya uvugu vugu kukandia au tui la nazi au maziwa

KUANDAA NA NA KUOKA MAANDAZI YA KUOKA

  1. Tia unga katika beseni kisha tia hamira, chumvi, sukari, vanilla, na siagi kisha changanya unga wako vizuri.
  2. Baada ya hapo tia maji kidogo kidogo na anza kukanda unga wako kanda kwa dakika 3 ila usiulainishe saana. 
  3. Acha Kwa dakika kadhaa kisha kata na acha tena kidogo. ..paka mafuta katika chombo cha bati kisha panga maandazi yako na kisha paka tena mafuta juu ya maandazi na tia katika oven au jiko la mkaa kwa muda mchache maandazi yako yatakua tayari kuliwa.

NB:
  • -uandaaji wake ni vilevile kama maandazi ya kawaida ya mafuta tofauti yake haya unayaoka tu.
  • -kwenye kukata usifanye membamba sana kwani yakipoa yatakuwa magumu, hivyo ukate manene kiasi ili yawe laini
  • -kama huna oven unapikia jiko la mkaa.

About the Author

Hello,I am Web Designer and Expert facebooktwitteryoutubeinstagramexternal-link

Chapisha Maoni

Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.