_Sio kila akwambiae anakupenda huwa anakupenda._
💞💞
_Ujue kuwa kuna kupendwa na kuna kutamaniwa usije ukatamaniwa ukadhani wapendwa kumbe watamaniwa tu._
💞💞 _Na hakuna mtu aliye na ulimi mtamu kama asali, kama anayekutamani na ni vigumu sana kumtambua maana ataficha ubaya wake wote na akudhihirishie uzuri wake tu._
💞💞
_Kwa hivyo dada zangu, kaka zangu,wanangu zingatia huu wangu wasia_
💞💞
_Penda unapopendwa, utakujapenda unapotamaniwa._
💞💞
_Na mwisho hakuna mapenzi ya dhati ya mitandaoni bali ni kutamaniana tu na kupotezeana wakati._
*Kuwa makini*