Notification texts go here Contact Us Buy Now!

Wanawake Kuweni Wabunifu Kitandani Hata Denda Mnataka Tuwafundishe

Wanawake Kuweni Wabunifu Kitandani Hata Denda Mnataka Tuwafundishe

Leo nataka kutoa dozi matata kwa wanawake wenzengu sio kila kitu utafundishwa katika mapenzi has a unapokuwa kwenye ile kona ya sita kwa sita.

Jambo la msingi ni kutakiwa kuwa mbunifu. Wanaune wanapenda mwanamke uwe mtundu hasa linapofika suala la kupeana penzi.

Acha kujilaza kishamba kishamba mfanyie mumeo mitego ya maana hata mitego jamani unataka nikufundishe ina maana hata kufunga kikanga chepese unasubiri nikuambie.

Badilika dada unalalaje na manguo mazito kama magunia wanaume wanataka mitego ya maana upo nyonyo?

Wengine wanasema eti ukionyesha utundu utaonekana malaya ha ha ha nani kakuambia ukiwa mtundu kitandani ni umalaya? Hayo mambo yamepitwa na wakati.

Nataka nikuambie wanaume zenu wanafuata michepuko baada ya kuona ndani hamjishughulishi na wengine wakishaona ndoa tayari wameipata ndio wanajibweteka kabisa.

Kilichokufanya uingie kwa ndoa ni kazi moja mpe mumeo dozi mchanganyie staili tofauti utamfanya apagawe hata mchepuko hawezi kuitafuta.

Tatizo lenu wanawake wenzangu mkishaanza kuisha na mwanaume mnafanya mazoea. Mwanaune hazoeleki ndugu yangu usipompa dozi yake inavyotakiwa kukusahau ni dakika mbili.

Jamani kuna wanawake ni wavivu tu hata kufuta mboo unasuburi nikufundishe, mwingine hata denda mpaka aambiwe. Haya hata kuwapapasa wanaume zenu mnataka tuwaambie? Ina maana hujui wajibu wako unapokuwa faragha?

Hivi hata denda unataka nikufundishe jinsi linavyoliwa ha ha ha wanawake wenzangu badilikeni la sivyo mtapigwa matukio ya michepuko mpaka akili ikukae sawa.

Ifike wakati mbadilike wanaume wanapenda mautundu chumbani hayo mengine ni mbwebwe tu.

Hivyo jitafakari na kuchukua hatua sio kila jambo utafundishwa vingine kuwa mbunifu mwenyewe.

Hivi kuna aliyefundishwa kufanya mapenzi yaani ukaambiwa ule mchezo ukifika muanze kupetiana alafu nyege zikipanda ujilaze kitandani alafu mwanaume anaingiza uume ha ha ha ha kila mtu awe mbunifu anapokuwa faragha.

Dawa ya kuwadhibiti michepuko ipo tena ya kutumia vitendo unapokuwa na mpenzi wako faragha wala hauna muda wa kupambana naye kwenye simu ana kurushiana maneno.

Hapo ni kutoa dozi zako tatu kwa staili tofauti mwanaume akikaa akili yake ipo kwako yaani unampa uchizi unapokuwa naye faragha. Usikubali kuwa mzigo unapokuwa kitandani.

Mie mwenzako natoa dozi zangu ninapokuwa katika hiyo sekta sikubali kubaki nyuma yaani mpaka kuna wakati anatamani kutoroka kazini.

Sasa huyo mwanaume wangu hata akisema aende kwa michepuko hawezi cha kufanya shoo zote nimezikamilisha nimemuacha mweupe.

Maoni 7

  1. Hata wawe wabunifu vp kwawanaume hawatosheki kabisaaaa hata umkatie kiuno kama feni bdae hato tosheka
  2. Kuna tofauti kubwa Kati ya mapenzi na matamanio
  3. Matamanio yakisha timizwa yanapotea but mapenzi yaongezeka
  4. Basi wanaume weng niwanatamanig tu ila sio kupend maan mapenz yakwel hayahitaji ubunifu huridhika tu kwakuanae unaye mpenda
  5. But pia mwanaume anaweza akawa anakupenda Sana but vishawishi pia vipo so Kama uvumilivu wake mdogo na ww uwezi mridhisha vitamshinda then atajikuta amesha kusaliti and after that anakuja jutia. Na Wanaume WENYE mapenzi ya kweli huwa Wanawake wanawawinda balaa. Mtu WENYE matunda ndio unaopigwa mawe, so Wanawake wengine wakiona anavyokupenda na NDIVYO wanavyozidi kumuinda na NDIVYO wanavyozidi kumtega na kumpa vishawaishi
  6. Wanawake wengi huzani kwamba mwanaume akishawapenda basi hatoona au KUPATA vishawishi kutoka kwa Wanawake wengine...Tena hapo ndio matamanio huongezeka pale ambapo anakuwa ajaridhishwa kimapenzi na mke wake...so MKE akibweteka kwamba eti kashaolewa ajue kunaambao wanawaza watampataje au watakutoaje we waingie wao... Wanawake huwa wanaoneana WIVU akiona mwenzake anakitu kizuri na yeye atataka awenacho hiyo ni nature ya wanawake
  7. Mwanaume asie ridhika kwamke wake huyo nimto mwenye tamaa tu asisema et mke hamridhishi tena ataumpitishe hadi masikion kama ameendekez tamaa lazima ashawishike tu
Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.