Notification texts go here Contact Us Buy Now!

MAPISHI YA MKATE WA MCHELE/MKATE WA KUMIMINA

Recipe as received 
MKATE WA MCHELE/MKATE WA KUMIMINA

MKATE WA MCHELE/MKATE WA KUMIMINA

MAHITAJI YA KUPIKA MKATE WA MCHELE/MKATE WA KUMIMINA

1.Unga wa mchele (rice flour 2
vikombe vya chai)
2.Sukari (sugar 3/4 ya kikombe cha
chai)
3.Hamira (dried yeast 3/4 kijiko cha
chakula)
4.Hiliki (cardamon powder 1/2 kijiko
cha chai)
5.Ute wa yai 1(egg white)
6.Tui la nazi (coconut milk kikombe
1 na 1/2 cha chai)
7.Mafuta (vegetable oil)

MATAYARISHO YA MKATE WA MCHELE/MKATE WA KUMIMINA :-

Changanya unga wa mchele, hamira, hiliki na tui
la nazi pamoja katika bakuli la plastic kisha
koroga vizuri. Ufunike na uwache katika sehemu
ya joto mpaka uumuke.(ambayo inaweza
kuchukua kama dakika 30-45. Ukisha umuka tia
sukari na ute wa yai kisha ukoroge vizuri. Baada
ya hapo washa oven katika moto wa 200°C
kisha chukua chombo cha kuokea na ukipake
mafuta na umimine mchanganyiko. Kisha utie
katika oven na uoke kwa muda wa dakika 40.
Hakikisha unaiva na kuwa rangi yabrown juu na
chini. Na hapo mkate utakuwa tayari kuliwa pamoja na chai ya maziwa au ya rangi au hata juice.
NB:-KAMA HAUNA UNGA WA MCHELE WAWEZA CHUKUA MCHELE WAKO NA UKAULOWEKA KATIKA MAJI USIKU MZIMA KISHA UKAUSAGA KATIKA BLENDA NA MKATE WAKO UKATOKA VIZURI PIA.NA KAMA HAUNA OVEN YA KISASA BASI WAWEZA TUMIA JIKO LA MKAA KUOKEA.

About the Author

Hello,I am Web Designer and Expert facebooktwitteryoutubeinstagramexternal-link

Chapisha Maoni

Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.