Notification texts go here Contact Us Buy Now!

MAPISHI YA KUPIKA MAYAI NA NYAMA

MAYAI NA NYAMA

MAHITAJI YA KUPIKA MAYAI NA NYAMA

  • mayai 8
  • Nyama ya kusaga nusu kilo
  • Tangawizi ilosagwa kijiko 1
  • Cumin powder kijiko 1
  • bizari nzima (cumin) ulosagwa kijiko 1
  • Pilipili manga ilosagwa kijiko 1
  • Pilipili ya unga (kama unapenda)
  • Mafuta ya kupikia na chumvi

JINSI YA KUPIKA MAYAI NA NYAMA

  1. Chemsha nyama na viungo vyote bila maji  kama nyama ni laini (lamb) kama si laini tia maji kidogo. Iwache mpaka ikauke iwe kavu kabisa. Wacha ipowe.
  2. Kata mayai kwa urefu hakikisha kila yai unalikata katikati. Toa viini vya yai vichanganye na ile nyama ilopowa.
  3. Changanya nyama na viini na yai moja kati ya yale mawili yalobaki. Changanya mpaka mchanganyiko uwe mlaini ambao unaweza kutengeneza duara bila kupasuka. Kama unapasuka ongeza yai moja lakini sio lile lilobakia kati ya yale mawili.
  4. Chukuwa vile vipande vya yai na mchanganyiko wa nyama tengeneza kama kwenye picha hapo juu.
  5. Weka mafuta jikoni. Piga lile yai lilobaki,  choma kama unavuochoka katles. ENJOY 😃by livna

About the Author

Hello,I am Web Designer and Expert facebooktwitteryoutubeinstagramexternal-link

Chapisha Maoni

Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.