Notification texts go here Contact Us Buy Now!

JINSI YA KUPIKA MIGUU YA KUKU


𝕞𝕚𝕘𝕦𝕦 𝕪𝕒 𝕜𝕦𝕜𝕦


𝕄𝕒𝕙𝕚𝕥𝕒𝕛𝕚:
  • Miguu kiasi chako
  • ndimu/limau au ukwaju
  • Mtindi (ukipenda)
  • Pilipili manga
  • Manjano
  • kitunguu swaum na tangawizi
  • giligilani
  • Chumvi kiasi
  • pilipili
  • mafuta ya kupikia vijiko 3 vya chakula
  • nyanya 2 au 3 zilizosagwa
  • nyanya ya pakti 1(kufanya rojo liwe zito zaidi)
𝕟𝕒𝕞𝕟𝕒 𝕪𝕒 𝕜𝕦𝕒𝕟𝕕𝕒𝕒:
safisha vizuri miguu kisha weka kwenye chombo cha kupikia pamoja na hayo mahitaji yote, tia mafuta na maji kidg sana ya kuivishia tuu pika mpk iwive na ibaki na rojo kidogo iwe kavu isiwe na michuzi michuzi.

Nb:
-unaweza ukala na ugali, mikate, chipsi, chapati, ndizi choma au za kukaanga, wali n.k
-kama miguu ni migumu unaweza kuichemsha kidogo kabla ya kupika kisha baadae utapikia na hio supu yake
-pia unaweza ukatumia namna ya upishi kwenye utumbo,vichwa au firigisi

About the Author

Hello,I am Web Designer and Expert facebooktwitteryoutubeinstagramexternal-link

Chapisha Maoni

Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.