Notification texts go here Contact Us Buy Now!

KAMA WEWE NIMWANAUME ALAFU UNATABIA HIZI BASI JUA UNATABIA ZAKIKE

KAMA WEWE NIMWANAUME ALAFU UNATABIA HIZI BASI JUA UNATABIA ZAKIKE

IFIKE MAHALA TUAMBIZANE UKWELI..

KAMA WEWE NIMWANAUME ALAFU UNATABIA HIZI BASI JUA UNATABIA ZAKIKE..

1: Kama wewe unatabia zakujadili maisha ya watu 👉HIYO NITABIA YAKIKE.

2: Kusuka dredi kichwani 👉HIYO NITABIA YAKIKE.

3:Kusubili ugongee msosi kwa shemeji au dada yako hali yakuwa umeshafikisha umri wakujitegemea na hutaki kutafuta vyakwako. 👉HIYO NITABIA YAKIKE.

4: Kuvaa milegezo Kununua suluali zakubana au kununua suluali alafu unapeleka kwa fundi ili aibane (modo)..
👉HIYO NITABIA YAKIKE.

5: Kumtafuta fundi ili akutengeneze kucha ikiwemo kusafisha kucha, kuweka brich kichwani..👉HIYO NITABIA YAKIKE.

6: Kupenda vyakula laini laini kama chipsi mayai.Pamoja nakupiga picha chakula unachokula nakupost kwenye mitandao yakijamii ili kujionyesha.. 👉HIYO NITABIA YAKIKE TENA UIACHE..

7: Kukataa kufanya kazi ngumu nakupenda kazi laini laini. 👉HIYO NITABIA YAKIKE.

8: Kuhalibu mipango ya mwenzako pale unapoona anaenda kufanikiwa ..👉HIYO NITABIA YAKIKE. Nahuenda ukawa mchawi..

9: Kujichubua. 👉HIYO NITABIA YAKIKE.

10: Kukunja midomo bila sababu kama umekula ndimu.. 👉HIYO NITABIA YAKIKE..

KAMA KUNAZINGINE WEKA HAPA KISHA SHARE.
Imeandikwa na mwalimu habelnoah

About the Author

Hello,I am Web Designer and Expert facebooktwitteryoutubeinstagramexternal-link

Chapisha Maoni

Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.