Notification texts go here Contact Us Buy Now!

MPENZI CHEUPE | WHITE LOVER #05

MPENZI CHEUPE | WHITE LOVER.

MPENZI CHEUPE | WHITE LOVER #05 -BONGOLIFE

MPENZI CHEUPE # 05 [SWAHILI].

MTUNZI: Sunday Joaquim
Contact : 0658 593 797

Brown alikuwa ameingia kwenye himaya ya mauza uza,Brown alimfuata Salma mpaka kwenye eneo ambalo lilikuwa na mawe mengi makubwa sana.alipita katikati ya yale mawe akiwa katika hali ya woga maana hapakuwa na nuru kabisa,mbele kwa mbali aliona kama mlipuko wa volkano,alitumaini panaweza kuwa na kijiji,aliapata matumaini,lakini alipofika eneo lile hakuona kijiji wala mtu,aliona pembeni ya ile volkano kuna mlango,ghafla ulitokea mkono kubwa sana wenye kucha ndefu za kutisha,ulimshika Brown mgongoni na mara ule mlango ulifunguka kwa mtetemo mkubwa wakutisha,ule mkono ukaanza kumsuma Brown kuelekea ule mlango,Brown alijikuta hana nguvu ya kukataa,aliingia ndani,alipofika ndani aliona majeneza mengi sana yamepangwa kama kwenye ukumbi,mara ule mlango ukajifunga kwa nguvu.

Mara ulitokea mwanga mweupe lakini hafifu,aliangalia pande zote nne hauona kitu ila alisikia kelele zikitokea kwenye ngazi iliyokuwa ikishuka chini,mara jeneza moja lilifunguka, Brown alipata usahwishi wa kwenda kuliangalia,alikuta binti mdogo amelala,wakati akimwangalia aligundua kwamba yule mtoto alibadilika na kuwa mkubwa,na alikuwa hai,macho yalimtoka,alianza kurudi nyuma yule mtoto akawa mwanamke mzima alinyanyuka na kuketi akiwa bado ndani ya jeneza "Brown my darling" aliongea yule mwananmke,hapo Brown alishtuka sana na kuanza kutetemeka "we..we ni nani?" "sogea karibu utanifahamu" Brown hakuweza kusogea kwa kuwa aliogopa.

Yule mwanamke alitoka kwenye jeneza na kusimama pembeni ya lile jeneza "Brown sogea sogea gea gea"sauti ya yule mwanamke ilisikika huku ikijirudia rudia kama mwangwi,Brown alianza kusogea katika hali ya woga sana,yule mwanamke alianza kutembea kumfuata Brown,alikuwa akibadilika na kuwa Salma,dah ! hapo Brown aliishiwa pozi,alitaka kukaa chini lakini Salma alimzuia "nifuate" aliongea Salma,Brown alianza kumfuata tena,Salma alielekea kwenye zile ngazi na kuanza kushuka moja baada ya nyingine na huku akigeuka geuka kumwangalia Brown.

Walipo maliza zile ngazi, Brown aliona sehemu kama ukumbi wa sherehe umepmbwa kwa vitambaa vyekundu,kulikuwa na viumbe vya kutisha sana wameketi kwenye viti vya ule ukumbi,walikuwa na kucha ndefu,meno marefu makali,wote walikuwa wakimwangalia Brown kama wanamtamani,mmoja wao alisema kwa sauti kali "nasikia harufu ya binadamu nataka damuuuu",walianza kumsogelea,lakini kabla hawajamgusa,walikemewa na mwanamke aliyekuwa ameketi mbele kwenye kiti cha enzi yake,alimwonyesha ishara Brown aende kule mbele,alianza kuzipiga hatua kwenda kule mbele akiwa katika hali ya woga sana,alitetemeka mpaka meno yalikuwa yakigongana "karibu Brown karibu sana umekuja tufunge ndoa mpenzi karibu sana" aliongea yule mwanamke huku akiinuka kwenda kumlaki Brown,alimfikia na kumpapasa mashavuni.

Ghafla aliinua kidevu cha Brown kwa nguvu sana "mhhggghh" aligugumia Brown kwa maumivu ya kucha za yule mwanamke,yule mwanamke alifunua shela yake aliyokuwa maeivaa na kujifunika usoni,ndipo Brown alimtambua kuwa alikuwa ni Salma "Salma mbona wanifanyia hivi?" aliuliza Brown huku akimeza mate maana alihisi koo kukauka "haaaaa haaaaaaa haaaaaa Brown ulinipenda sana mimi najua na mimi nimekupenda sana ndiyo maana nimethubutu kukuleta kwenye himaya yangu" "sasa nimekosea nini mbona wanitisha hivi?" "sikutishi mpenzi nitakulinda muda wote hawa wote wapo chini yangu hakuna wa kukudhuru hapa" "sasa lengo lako nini?" hilo swali lilimuudhi Salma "Brown mbona unakuwa mpumbavu unataka kuniaibisha?"

Salma alionekana kuchukia sana "wewe mwenyewe ulikuja kwangu na sasa unajifanya huelewi? ebo!" "samahani Salma sijamaanisha hivyo" "kumbe umemaanisha nini?" "mazingira haya mimi siyajui kabisa na kwa kweli naogopa sana" 'unaogopa nini utazoea tu mbona mimi nimeshazoea na mimi nilikuwa mgeni kama wewe" "sawa Salma nimekuelewa" "usiniite Salma...niite mpenzi Salma" "sawa mpenzi Salma" "haya lete vinywaji na nyama tule sherehe ianze" zilipigwa shangwe za kutisha sana,wale watu walikuwa kama wanaunguruma,vililetwa vikombe vilivyojaa damu ya bina damu,alafu zililetwa maiti mbili za binadamu wa kike na wakiume,vichwa vyao vikiwa vimekatwa na kuwekwa kwenye sahani pembeni ya miili yao,Brown aliltetewa visu vikubwa viwili achague kimoja.

Brown akiwa katika hali ya sintofahamu alichagua kisu kimoja,alafu alipewa kitu kama Uma na kupewa ishara akate kipande toka kwenye mwili ule wa kike,Brown alikata huku akitetemeka "jikaze mtoto wa kiume wewe" aliongea Salma,Brown alikata na kuweka kwenye sahani ya udongo,alipewa ishara na mmoja wa wale apambe waliokuwa karibu na Salma kuwa amlishe Salma,Brown alimsogelea Salma na kipande kimoja mkononi,samu zilichirizika kwenye mkono wa Brown toka kwenye kile kipande,alimlisha Salma huku akiwa amegeukia pembeni,mara alihisi mkono mgumu,wa baridi ukimgusa kidevuni na kumgeuzia kwa Salma,alikuwa mmoja wa wale watu wa ajabu akimgeuza Brown,aligeuka huku amefumba macho,alisikia amenaswa kofi shavu la kushoto,alifumbua macho ili kumwangalia aliyempiga,daah aliishiwa nguvu.................ENDELEA NA SEHEMU YA 06 YA SIMULIZI HII YA MPENZI CHEUPE.

WHITE LOVER #05 [ENGLISH VERSION].

Brown had entered the sell territory, brown followed salma to an area that had so many large stones. He passed through the middle of those stones in fear because there was no light at all, before far he saw as a of blast, he hoped that there might be a village, he found hope, but when he came to the place he saw no village or anyone, he saw next to that volcano there is a door , suddenly there came out a very big hand with long terrifying nails, you caught brown on the back and immediately the door opened with a big terrible earthquake, the hand started to faint brown towards the door, brown found himself without the power to refuse, he entered in, when he came in, he saw a lot of coffin. They are arranged as in a porch, and immediately the door closed.

Immediately there appeared a white light but light, he looked at the four sides didn't see anything but he heard noise coming out on the level that came down, immediately one coffin opened, brown found a doubt to go to look at it, he found a little girl lying, while looking at him realized that the child changed and became big , and she was alive, the eyes came out, she started going back that child became an adult woman raised me up and sat while she was still inside the coffin " Brown my darling " spoke that woman, there brown was very shocked and started shaking " we.. who are you?" "move around you will know me" Brown couldn't move on because he was scared.

The woman came out of the coffin and stood next to the coffin "Brown Degea Gea Gea" the voice of the woman was heard while repeating itself repeat like a echo, brown started walking in a very fearful situation, the woman started walking following brown, she was changing and being salma , huh! There Brown was a pose, he wanted to sit down but salma blocked her "follow me" she spoke salma, brown started following her again, salma headed to those levels and started going down one after another and turned around to look brown.

When they finished the stairs, brown saw a part as a party hall covered with red fabric, there were very terrible creatures sitting on the seats of that hall, they had long nails, long edge teeth, all of them were looking at brown as they wish him, one of them said to Loud voice "I hear the smell of a human being I want damuuuu", they started swimming with him, but before they touched her, they were overwhelmed by a woman who was sitting on her throne, showed him a sign brown to go ahead, he started taking steps to the front while she was in a very fearful situation. , she trembled until the teeth were yakigongana " Welcome Brown, you have come and get married to the marriage partner. You spoke to the woman as she rose up to meet brown, she came to meet brown, she reached her side.

Suddenly she raised the brown chin very strong " Mhhggghh " she hugged brown from the pain of the woman's nails, the woman revealed her propose that she was wearing and covered herself on her face, then the brown recognized her that she was salma " Salma Why did they do me like this?" she asked brown. When he swallow mate because he felt throat dry " haaaaa haaaaaaa haaaaaa brown you loved me so much I know and I loved you so much that's why I dare to bring you to my territory " " now what am I wrong why are you threatening me like this?" " I didn't scare you darling I will protect you all the time these are under me none of To harm you here " " now what is your goal?" that question hurt salma " Brown why are you so stupid you want to shame me?"

Salma seemed to hate so much " you yourself came to me and now you pretend you don't understand? Ebo!" " I'm sorry salma I didn't mean that " " so what did you mean?" " this environment I don't know at all and I'm really afraid " ' ' what are you afraid of you will just get used to me why I am used to it and I was a stranger like you " " ok salma I understand you " " Don't call me salma... call me darling salma " " okay darling salma " " bring drinks and meat we eat the celebration and start " they were beaten very scary, those people were like they were smiling, they were brought cups full of blood of Hindus, and then they were brought two dead bodies of human beings. Female and female, their heads cut off and placed on a plate beside their bodies, brown was crushed with two big skins to choose one.

When Brown was in unconscious he chose one knife, then he was given something like a fork and given a sign to cut a piece from that female body, brown cut it while shaking "work the boy you" spoke salma, brown cut and put on a clay plate, She was given a sign by one of those apambe who were near salma to amlishe salma, brown swimming with salma and one piece in her hand, got sunk in the brown hand from the piece, she fed salma while she turned to the side, immediately she felt a hard, cold hand touching her. And turning her to salma, she was one of those amazing people turning brown, she turned while closed his eyes, she heard that she was trapped slap on the left cheek, she opened his eyes to look at the one who hit her, daah she threatened with strength...........CONTINUE TO READ PART 06 OF WHITE LOVER NARRATIVE.

About the Author

Hello,I am Web Designer and Expert facebooktwitteryoutubeinstagramexternal-link

Chapisha Maoni

Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.