Notification texts go here Contact Us Buy Now!

JE UNAFAHAMU SUMU ZIKIZIDI MWILINI NINI HUTOKEA?

Simu mwilini - bongolife Afya yako

Asilimia kubwa ya maradhi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo katika miili yao. Inawezekana umewahi kusikia mambo mengi kuhusu sumu kwenye mwili, lakini hufahamu chazo halisi cha sumu hizi.

VYANZO VYA SUMU

Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana ;

  1. Kutokulala mda unaotakiwa 
  2. Kukaa kwenye kiti mda mrefu 
  3. Mazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia 
  4. Ukosekanaji wa lishe sahihi na diet nzuri yenye kuongeza 
  5. Matumiziya sigara Na pombe kali
  6. Uzito mkubwa uliopindukia
  7. Mitindo ya maisha

DALILI ZA KUWA SUMU NYINGI MWILINI


  1. Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi,vipele
  2. kuwa na uzito wa kupindukia
  3. kutokupata choo au choo kigumu
  4. kukosa usingizi Na kujihis kuchokachoka
  5. Kiichwa kuuma
  6. Kupata miwasho
  7. Maumivu ya viungo Kama vile mgongo,goti
  8. kuwa na hasira mara kwa mara.
  9. Tumbo kujaa gesi

MADHARA YAKE 


  1. kuondoa  hamu ya tendo la ndoa
  2. maumbikizi ya figo
  3. Maumbikizi ya Ini
  4. Hupelekea matatizo ya kutopata watoto.
  5. hupelekea uvimbe kwa ndani ya kizazi kwa mwanamke
  6. Hupelekea matatizo ya  pressure
  7. Kifo





About the Author

Hello,I am Web Designer and Expert facebooktwitteryoutubeinstagramexternal-link

إرسال تعليق

Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.