*🍇USIKU WA KITANDA🍇*
🍇Kitanda cha mwanamke kinatakiwe kiwe vzuri muda wote sio muda wa Usiku ndo unaanza kutandika
🍇Shuka mnayolalia na mnayojifunika na vile vifaa vingine vyote viwe vinanukia so vumbi la kabati mpo
🍇Jitahidi mtoto wa kike kubadilisha mashuka so kila siku mashuka yale Yale haihusu
🍇Hata inapofika Usiku wa kitanda mmeo anavutiwa tyuu kwa shuka na harufu ya udi
🍇Wallah ni aibu sanaa kwa mtt wa kike kutokujua chini ya mto wako unatakiwa uweke nini hii ni bonge la aibu.....
🍇Siku zote kumbuka kulala na dhana kwenye mto jmn hii itamfanya mumeo aone jinsi gani unavyomthamini.
🍇So wewe tena baada ya shughuli unatafuta kanga au shuka mlolalia unamfutia mwenzio looh mnawaumiza...
🍇Mkimaliza kazi yenu si Mnaenda kuoga wahi kutoka uje uangalie uwanja unaruhusu so anarudi eti ngoja nitandike kitanda baadala ya kumfuta bhana
🍇Siku zote ushapu unahitajika mtoto wa kike tandika kitanda haraka kamrudie bhana
🍇Unamrudia mumeo kwa kumuuliza tena kwa madaha utanihitaji tena au unapumzika na kama atapumzika
🍇Asubuhi na mapema muamshe mumeo, kuna style za kuamsha nishafundisha, so unaamsha km unadai nauli
🍇Mtaoga Mtaswali Ila usisahau Bao la asbh hapa kila mtu alivyojiwekea na mweza wake
🍇Ukishamaliza shughuli zote weka vzuri chumbani kwako na kumbuka kufua zile dhana zako anika juani na hata pasi ukiweza piga vile vina tabia ya kukakamaa
🍇Jioni na mapema fukiza udi zile dhana zako na tujitahidi tuwe navyo vingi.