Kweli baada ya kutoka tu shell akaanza kushindwa kuona,macho yakiwa mazito sana,kidogo agonge,alichokumbuka ni kugeuza kurejea shell na alipofika tu akafungua mlango na kutoka akiwa hoi tayari,na yule muuzaji akawa amepiga simu polisi wa doria ndo kufika na kumsaidia.
Leo nimepokea ushuhuda wa mhusika umenitisha sana.
Kuna mtindo wa wizi umebuniwa,either shell au nje ya hapo,kuna watu wanagawa vipeperushi kwa madereva,inaonekana vina madawa,ukikiweka kwenye gari unalewa na kusinzia in a matter of minutes.