Notification texts go here Contact Us Buy Now!

TAHADHARI WEZI JIJINI DAR WAJA NA MBINU MPYA ZA KUWAIBIA WATU

Kuna mtu jana usiku alitoka ofcn kwake saa nne akapita shell kuweka mafuta,akatokea mtu akampa kipeperushi jamaa akapokea na kutupia kwenye gari,lkn muuzaji wa mafuta akamuonya kwamba asipende kupokea vipeperushi ni hatari kwa usalama wake.

Kweli baada ya kutoka tu shell akaanza kushindwa kuona,macho yakiwa mazito sana,kidogo agonge,alichokumbuka ni kugeuza kurejea shell na alipofika tu akafungua mlango na kutoka akiwa hoi tayari,na yule muuzaji akawa amepiga simu polisi wa doria ndo kufika na kumsaidia.

Leo nimepokea ushuhuda wa mhusika umenitisha sana.

Kuna mtindo wa wizi umebuniwa,either shell au nje ya hapo,kuna watu wanagawa vipeperushi kwa madereva,inaonekana vina madawa,ukikiweka kwenye gari unalewa na kusinzia in a matter of minutes.

About the Author

Hello,I am Web Designer and Expert facebooktwitteryoutubeinstagramexternal-link

Chapisha Maoni

Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.