Notification texts go here Contact Us Buy Now!

SAFARI YA KUZIMU SEHEMU YA KUMI NA SITA (16)

SAFARI
SEHEMU. YA 16
whatsApp 0655585220
wakati bado watu wana shangilia huku wakiona kile kijiji au mji wanasogelea kwakasi, lakini YOROBI gunguwa jambo
lakushangaza juu ya mji ule, kwanza kabisa, jinsi awalivyokuwa wanausogelea ulemji, japo mwendowao ulikuwa wakawaida, lakini
walionekana wakiusogelea kwaharaka sana, kingine mwonekano waule mji, nitofauti ya alivyozowea kuuona, Basi walizidi
kukata maji, huku kelele za shangwe, zikichangia kuwapa nguvu ya kuendelea na safari yao, wakiamini inaenda kufika tamati,
kufika mahari walipokuwa wakienda. ndipo binti BERALITA,alipojipa moyo kuwa mambo yako sawa, ile kutazama vizuri, mbele
zaidi, aliona wamezidi kukaribia, alizidi kuimba kwa hisia, akisidiwa na wenzake, huku moyoni mwake akiwa mwingi na shauku
ya kukanyaga aridhi yao, kwani kilikuwa ni kipindi kirefu sana, tangu atoke kwenye aridhi yao,
YOROBI aliendelea kuwaahimiza vijakazi wake, kufanya haraka kufikisha chombo inchi kavu, kulikuwa na wengine wakisita
kufanya upesi kufikisha chombo hicho, lakini akilini mwake alikuwa ikiwaza sana, na huku kichwa chake kikiwa kimejaa sifa,
mpaka kikataka kuonekana kupasuka, kwa sifa alizokuwa akizitaka pindi atakapo shuka na kuwafikisha watumwa kwenye ngome yao.
pindi watakapo fika tu atapandishwa cheo, na kumpa ngazi kubwa sana lakini huku akiendelea kuwaza hayo, alishangaaa kuona
kitu kidogo kikitoka kwenye maji na kufika mahari alipo na kuzama tena, ndani ya maji hilo tukio lilimshangaza kijana huyo,
huku ajui nini afanye kwani tukio hilo aliliona mwenyewe tu!, na kuwaza sana kiashirio cha hilo tukio, lakini alitupa kule
mawazo hayo chini, na aliposikia shangwe zikiendelea, alijawa na furaha tele, huku na kule alisahau hata tukio lilitokea
mda mfupi tu na kubaki akitazama mbele nakuona viashilio vyote vya kuwa wamefika.
Upande wa binti BERALITA, yeye alikuwa akiendelea na nyimbo zake, huku akiwa akimkosha sana kijana MWAIPAMBA mpaka kijana
huyo aliona kuvunja ukimya na kumfata binti huyo, uku akiendelea kuimba, ili apate kufurahia pamoja, kuwa wemefika safari
yao, basi nae alifanya hivyo kwa tahadhari sana, maana alijuwa kitachotokea, endapo atakosea kidogo, lakini hatimaye
alimfata, kumbe binti BERALITA hakuwa na mawazo hayo, aliyokuwa akiwaza kijana MWAIPAMBA, yeye alikuwa kawaida tu, yale ya
nyuma alikuwa ameyasahau, basi nae alipomuona tu kijana MWAIPAMBA ... kitugani alichokiona YOROBI, unazani wamefika kweli?
nijulishe kama umesha isoma kisha subiri jibu ambalo utalipata, hapa hapa kwa mdau wako
Ahmad Mdowe kwenye namba 17

About the Author

Hello,I am Web Designer and Expert facebooktwitteryoutubeinstagramexternal-link

Chapisha Maoni

Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.