Notification texts go here Contact Us Buy Now!

SAFARI YA KUZIMU SEHEMU YA KUMI NA NNE (14)

SAFARI
SEHEMU YA 14
whatsApp 0655585220
Basi kila mmoja wao alurudi mahali pake na kuangalia chombo kikichana maji huku kikisonga mbele, ili kufika hitimisho
la safari yao, Basi kijana.YOROBI aliendelea kuongoza vijana wenzake, kukipa nguvu chombo ili wawai safari, yao ndipo nae
alipo tulia, na kufikilia kile alicho ambiwa na binti BERALITA juu ya kufanya makosa kwa binti NGUVA, ane alifikiria sana
nakukili kimoyo moyo, huku akiapa mwenyewe, hatofanya tendo kama hilo endapo akiona NGUVA yoyote akiwapa msaada.
binti BERALITA alikuwa akitizama sana maji huku yeye akifikiria juu ya safari yao, ambayo misuko suko na vijimambo,
vilivyokuwa vikiwaandama kwenye safari yao, basi alifikilia sana, juu ya hayo yanayotokea, kwani lengo lake ni kufika kwenye
kijiji chake salama, hakufahamu ya kuwa walikuwa wameuzwa na licha ya kudanganywa sana, nae alikuwa na imani ya kufika kwao
basi jioni iliingia kwa kasi, kwani matazamio yao hayakuwa ya kulala kwenye maji, ila vile vikwazo vilivyokuwa vikitokea
njiani vilifanya mpaka giza kuingia wakiwa ndani ya maji,
Waliamuwa kuwasha taa, kwenye jahazi lao, huku nae alikuwa nataa yake ndani ya begi lake, nae alipoona wakiwasha taa, nae
aliwasha ili apate mwanga maeneo yalio mzunguka, huku akilinda usalama wake kwani toka kijana MWAIPAMBA kufanya tukio, lile
hakupenda tena itokee juu yake, binti BERALITA.
Basi nae alikuwa makini sana, kwani hakutaka tena kuamini mtu, bali kujiamini yeye mwenyewe tu, kwani wote walikuwa ni
watumwa, nahakilizao uwa wanazijuwa wenyewe, ndipo kwa mbali aliona kitu kama mwangaza flani, lakini hakutaka kujifanya
kimbelembele, kuwa kaona kijiji chao, basi alikaa kimya, akiamini kuwa nawenzake watakuwa wameona, maana sasa likuwa
zikionekana taanyingi sana walizidi kukisogelea, huku akitafakali ule ni mji gani, kwani kulionekana kuwa ni mji mkubwa na
siyo kijiji kama alivyo zowea, kwani taa ziling'aa sana, na kuwaka kila kona, nae akaamua kutulia, mpaka atakaposikia tamko
kutoka kwa kijana YOROBI,
kijana MWAIPAMBA nae alikuwa amekaa pembeni, nyuma ya mrembo wetu, alibaki akimtizama sana binti BERALITA, akimtafakari
binti huyu maana siyo wa kumchezea, asa kwa kile kichapo alichopatia ,hato kaa na kumsahau binti huyo, alipokuwa akimtizama
alimpa heshima zake, kimoyo moyo huku akitupa huusika aliokuwa kauvaa juu ya binti, japo kuwa ni mdogo kuliko kwakw, lakini
kwake ilionekana tofauti sana, na kuwa kinyume chake,... vipijamani nikweli wameanza kuuona mji? ebu tuone katika sehemu ya
15, chakufanya nijulishe ukisha maliza kusoma iwe kwa like au comment yote sawa

About the Author

Hello,I am Web Designer and Expert facebooktwitteryoutubeinstagramexternal-link

Chapisha Maoni

Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.