Notification texts go here Contact Us Buy Now!

AISHII.. U. KILL.. ME SEHEMU YA 11, 12, 13, 14 &15

*AISHII.. U. KILL.. ME SEHEM YA 11 *AISHII U.. KILL.. ME SEHEM YA 12 *AISHII..U.... KILL... ME SEHEMU YA 13 *AISHII.. U.. KILL.. ME SEHEMU YA 14 *AISHII... U.. KILL.. ME SEHEMU YA 15

AISHII.. U. KILL.. ME
SEHEMU YA 11

Nikajifuta machozi nikiwa kwenye kordo ya kuelekea kweye ofisi yatu. Nikaingia ndani ya ofisi wala sikumsalimi mfanyakazi yoyote jambo ambalo si kawaida kwa maana watu wamenizoea kwa ucheshi wangu kwa kila mmoja.
“K2 kasha fanya yake”
Rafiki yangu mmoja alizungumza huku akinitizama hadi nina kaa kwenye kiti changu. Kwa jinsi ninavyo jijua nikiwa na hasira macho yangu yanavyo kuwa nikaamini kila mmoja anauona wekundu wa macho yangu. Nikafumba macho huku nikiziba masikio, nikijaribu kushusha pumzi taratibu, ikiwa ni njia moja kupunguza hasira.
“Mambo vipi jamani”
Nilizungumza huku nikitabasamu na kuwafanya watu wote kuangua kicheko. Kila mmoja akaitikia alipo maliza kucheka.
“Munacheka nini sasa?”
“Ahaaa najua K2 kasha fanya yake”
“Ahaaa hakuna kitu kama hicho”
“Kwenda huko. Dany sikuwahi kukuona ukiwa na hasira ila leo nimekuona”
“Nilikuwa naigiza”
“Hahaaaaa, bongo movie umeileta humu ndani?”
“Si unajua siku moja moja kucheka inabidi nipaweke pembeni. Ehee niambie huyo bi mkora katoa kazi gani?”
“Kaka umepewa kazi ya kwenda kukusanya habari shirika la nyumba”
“Kuna nini tena”
Jumbe akaniletea faili na kuniwekea mezani. Nikalifungua na kuanza kupitia ukurasa mmoja hadi mwengine. Kazi iliyo kubwa ni kwenda kufwatilia mapato ya ujenzi wa nyumba zinazo jengwa Kigamboni, na inaonyesha kuna ubadhilifu wa pesa umefanyika. Nikalifunga faili hilo na kuliingiza kwenye droo yangu.
“Jamani baadaye”
“Poa poa Dany”
“Nyinyi hamtoke leo?”
“Ahaa sisi kila mtu ana kazi yake”
“Ahaaa poa poa”
Nikaelekea kwenye lifti, nikaingia na kushuka moja. Nikatoka nje ya jengo, nikatembea hadi barabarani, nikakodi bajaji iliyo nipelekea hadi katika ofisi za shirika la nyumba. Moja kwa moja nikaelekea sehemu ya mapokezi na kumkuta dada mmoja mweupe aliye valia sare nadhifu sana.
“Habari yako dada?”
“Safi, nikusaidie nini?”
“Ahaa naweza kuonana mkurugenzi?”
“Hapana mkurugenzi hayupo”
“Meneja?”
“Yupo kwenye kikao cha bodi”
“Muhasibu je?”
“Naye pia yupo kwenye kikao cha bodi”
“Na kinaisha saa ngapi?”
“Kusema kweli sijafahamu kinaisha saa ngapi kwa manaa wameingia muda si mrefu”
“Basi ngoja niwasubirie hapa”
“Sawa”
Nikakaa kwenye viti vilivyo eneo hilo la mapokezi. Nikaitoa simu yangu mfukoni na kukuta meseji ya K2. Nikaifungua na kukuta ikiwa imeandikwa ujumbe wa kuniomba msamaha kwa kilicho tokea ofisini. Nikajikuta nikiachia msunyo hadi sekretari akanitazama na kutabasamu.
Nikairudisha simu yangu mfukoni nikachukua gazeti lililopo pembeni na kuaza kulisoma, huku nikivuta vuta muda kuwasubiria viongozi hao ambao ninahitaji kuzungumza nao. Hadi inafika saa saba kamili hapakuwa na dalili yoyote ya viongozi hao kumaliza kikao chao.
“Kaka samani ninatoka, ninakwenda lunch”
“Hao viongozi bado wapo kwenye kikao”
“Ndio naona kikao leo kimekuwa kirefu sana”
“Sawa”
Secretary huyo akaondoka, nikabaki nikiwa nina tazama wafanyakazi wanao toka na wengine kuingia. Wazo la kwenda kupata chakula likanijia. Nikatoka nje ya ofisi hizo, nikatembea sehemu hadi kwenye mgahawa uliopo karibu sana na ofisi hizo. Nikakuta wafanyakazi wengi wa shirika hilo wakiwa wamejazana. Nikatazama tazama kila sehemu na kumuona yule secretary akiwa amekaa peke yake kwenye moja ya meza. Nikaenda hadi alipo kaa na kukaa kwenye kiti hicho.
“Umekuja na wewe?”
“Yaa naona njaa kidogo imeniamsha”
“Karibu mimi ndio nipo katikati”
Muhudumu akanifwata kwa ajili ya kunihudumia.
“Muna pronse?”
“Ndio, unahitaji wakavu au walio pikwa rosti?”
“Niletee wakavu pamoja na chipsi kavu”
“Sawa kaka”
“Na niletee juisi ya ukwaju”
Muhudumu akaondoka. Nikamtazama dada huyo jinsi anavyo kula chipsi yai aliyo iagiza, huku pembeni kukiwa na kuku aliye kaangwa vizuri.
“Hivi mgahawa huu chakula wanacho kipika ni kizuri?”
“Sanaa, yaani wafanyakazi karibi wote wa ofisi za hapa karibu tunakimbilia hapa wakati wa kula”
“Wee!!”
“Yaa, wewe ni mgeni kwani?”
“Yaa ni mgeni wa eneo hili”
“Wewe ofisi zako zipo wapi?”
“Ahaa zipo kariakoo”
“Ahaa unafanya kazi gani?”
“Nimfanya biashara wa duka tu. Sema leo nilikuwa na miadi ya kuonana na hao viongozi watatu sema nao wapo kwenye kikao”
Muhudumu akaniletea chakula nilicho muagiza pamoja na juisi. Nikaanza kula huku nikijaribu kumchunguza dada huyo, niliye ona ananifaa kwenye kazi yangu iliyo nileta hapo.
“Unaitwa nani?”
“Mimi?”
“Ndio?”
“Mery”
“Ok mimi ninaitwa Dany”
“Una jina zuri, nina mtoto wa kaka yangu naye anaitwa Dany basi ni mkorofi huyo”
“Hahaa mbona mimi sio mkorofi”
“Mmm sifahamu kwa sababu sijakaa na wewe”
“Sijui ninaweza kuipata namba yako ya simu?”
“Kusema kweli huwa sitoagi namba ya simu kwa mtu ambaye simfahamu?”
“Kwa nini?”
Hata kabala Mery hajajibu, jamaa mmoja mrefu mweusi aliye valia tisheti ya shirika hilo la nyumba akasimama pemeni ya meza yetu na kutuangalia wote wawili hususani Mery.
“Huyu nani?”
“Ni…..ni ni”
Mery alijing’ata ng’ata huku akionyesha dahiri kumuogopa jamaa huyo aliye nikazia macho baada ya kunitazama. Jamaa akachukua glasi yangu ya juisi na kunimwagia kichwani na kuwafanya watu karibia wote walio kuwepo kwenye mgahawa huo kushangaa.
“Mose, una fanya nini sasa?”
Merya akashushwa na kofi zito lililo mfanya arudi kukaa, mara baada ya kunyanyuka kidogo. Nikajikita nikitabsamua huku nikijipangusa uso wangu ulio jaa juisi hiyo ya ukwaju.
“Hivi wewe mseng** unapenda sana kuvamia mademu za watu si ndio?”
Jamaa alizungumza huku akinitazama kwa macho ya hasira. Nikashusha pumzi huku nikijaribu kuizuia hasira yangu.
“Wewe fala si ninakusemesha?”
Jamaa ambaye nilisikia jina lake kwamba anaitwa Mose alinishika tai na kuninyanyua kwa nguvu kwenye kiti nilicho kalia. Watu waliopo karibu na meza yetu wakanyanyuka na kujaribu kumshika huyo jamaa anaye itwa Mose.
“Muheshiwa acha hayo si unajua watu wengi”
“Niacheni nimuonyeshe huyu mjinga anakazi ya kuparamia paramia wanawake wa watu. Hapa mjini”
Mose alizungumza huku akiendelea kunikwida. Sikuzungumza chochote zidi ya kumtazama Mose anacho taka kukifanya. Watu wakafanikiwa kumtoa jamaa huyo mwilni mwangu na kujikuta akiondoka na vifungo vyangu viwili vya shati.
“Na wewe twende”
Mose akamshika mkono Mery na kuondoka naye. Nikawatazama jinsi wanavyo toka kwenye mlango wa mgahawa huo. Nikachukua waleti yangu na kwenye sehemu ya malipo na kumuuliza muhudumu aliye nihudumia.
“Una nidai pesa ngapi?”
“Elfu ishirini na tatu”
“Yule dada niliye kuwa nimekaa naye pale amelipia?”
“Hapana”
“Na yeye munamdai bei gani?”
“Elfu kumi na tisa”
Nikatoa elfu arobaini na tano na kumkabidhi muhudumu huyo. Kila nilipo pita ndani ya mgahawa huo watu walinitazama huku wengine wakionekana kunionea huruma.
“Ila Mose muonevu, yeye kakuta watu wemekaa tu anawakoromea”
“Ila yule siku atakuja kupata kidume mwenzake atampiga hadi afurahi”
“Kinacho upa ujeuri ni huo uhasibu wake”
Wadada wawili walio kuwa wamekaa kwenye meza ya karibu na malngoni nilidaka mazungumzo yao na nikawa nimepata pointi kwamba kumbe mose kumbe ndio muhasibu ambaye ninatakiwa kumfanyia upepelezi. Nikafungua mlango na kutoka moja kwa moja nikarudi katika jengo lao. Nikamkuta Mery akiwa anamwagikwa na machozi huku pembeni akiwepo msichana mwengine akionekana kumfariji.
“Mbona unalia?”
Nilizungumza na kumfanya Mery kunyanyua kichwa chake alicho kuwa amekiinamisha. Akastuka kuniona eneo hilo na kuanza kufuta machozi yake.
“Kaka ni vyema ukaondoka kwa maana Mose akikukuta hapa unaweza kumsababishia matatizo mengine Mery”
“Kwani ofisi ya huyo Mose ipo wapi?”
Dada huyo akataka kunielekeza ila Mery akamuwahi na kumzuia kwa kumshusha mkono wake alio kuwa ameunyanyua kwa kutaka kunielekeza ofisi hiyo ilipo.
“Dany tafadhali nakuomba uo……”
Mery alinyamaza gafla huku macho yakitazama kwenye lifti, nikageuka na kumuona Mose akitoka kwenye lifti hizo, akanitazama kwa macho makali huku akinifwata nilipo simama.
“Wewe mwana haramu umekuja hadi huku si ndio”
Mose alizungumza na kutaka kuniparamia, ila safari hii sikuhitaji kuwa fala tena kwa maana, kitendo cha kunisogelea nimuwasha ngumi sita za kasi zilizo tua katika sura yake na kumfanya ayumbe na kuanguka chini.
Kila mtu aliye kuwa katika eneo hilo akashangaa. Mose akaanza kujizoa zoa na kunyanyuka, akasimama wima japo kwa kuyumba, akajaribu kurusha ngumi ila zote nilizikwepa, nikamtisha kidogo aniachia sura, nikavuta ngumi moja kali kabla haijafika karibu na shingo yake nikauzuia mkono.
“Usirudie tena”
Mose alicho kikosea ni kunitukania mama yangu, hapo sana nikaweka ustaarabu pembeni na kuanza kumtembezea kichapo, hadi walinzi wanao linda eneo hilo wakaja kunikamata. Nikiwa katika kizuizi cha walinzi hao nikashangaa kuona gari ya polisi ikija eneo hilo.
“Mtuhumiwa mwenyewe huyu hapa”
Alizungumza mzee mmoja aliye valia suti ya kaki. Askari hao wakanisogelea wakiwa na bunduki zao.
“Nyoosha mikono, una haki ya kukaa kimya hadi pale utakapo fika kituoni kwa mahojiano”
Sikuwa mbishi, wakanifunga pingu za mikononi na kunipakiza kwenye gari lao na kuondoka eneo hilo.
“Afande ninaomba nimpigie mwanasheria wangu aje kituoni?”
Nilizungumza tukiwa njiani. Askari huyo hakuweza kunijibu chochote zaidi ya kunikata jicho baya. Tukafika kituo cha polisi. Wakanifungua pingu, wakaniamuru kuvua mkanda, viatu, kutoa waleti mfukoni. Nikafanya hivyo kitu lilicho mstusha askari aliye kuwa akinipapasa ni bastola yangu niliyo kuwa nimeichomeka kiunoni.
“Jamani huyu ni jambazi”
Askari huyo aliuzungumza kwa sauti ya juu na kuwafanya askari wengine wote kituoni kunitazama mimi huku wengine walio na bunduki kuninyooshea mimi, huku wakiniamuru kunyoosha mikono juu kwa ukali sana.
Nikafwata kama wanavyo hitaji, nikainyoosha mikono yangu juu huku nikimtazama askari aliye nichomoa bastola yangu.
“Piga magoti wewe mjinga”
Askari mwengine alisisitiza kwa sauti ya ukali, taratibu nikapiga magoti. Askari huyo akachuka waleti yangu na kuifungua, akaanza kuikagua vitambulisho vyangu. Nikamuona akistuka baada ya kutoa kitambulisho changu cha kazi. Akanitazama mara mbili mbili huku macho yakimtoka na jasho likimwagika.
“Kuna nini kinacho endelea hapa”
Nilisikia sauti ya kike, nyuma yangu. Ikanibidi kugeuka na kumkuta mkuu wa polisi ambaye ninamtambua ni rafiki wakaribu sana na K2 na mara nyingi niliweza kumuona akija ofisini kwetu.
“Mkuu kuna huyu kijana alifanya fujo, ndio tumemleta hapa kituoni”
Mwanamama huyo mrefu kwenda juu, aliye valia suruali ya kaki pamoja na shati la kaki, lenye nyota kadhaa kwenye bega lake, akazunguka na kuja kusimama mbele yangu.
“Mumegundua nini?”
Alimuuliza askari aliye shika kitambulisho changu. Askari huyo akaonekana kupata kigugumizi na kujikuta mkuu wake akikichukua kitambulisho hicho na kukikoma. Akanitazama kwa haraka kisha akayarudisha macho yake kwenye kitambulisho hicho.
“Nani aliwapa oda ya kwenda kumkamata?”
Askari wote wakaka kimya. Kila mmoja alimtazama mwenzake, mwanamama huyo kwa ishara akaniomba ninyanyuke juu. Nikannyanyuka na kuwafanya askari wote kuduwaa.
“Mrudishieni kila kitu chake, unatoa toa macho ya nini?”
Askari aliye chukua waleti na bastola yangu, akanirudishia huku mwili mzima ukimtemeka. Sikulijali juu ya woga nikachukua kila kitu changu, nikavaa mkanda pamoja na viatu vyangu.
“Samahani kijana, naomba tukayazungumze ofisini kwangu”
Mwana mama huyo alizungumza huku akinitazama. Nilipo maliza kufunga kamba za viatu vyangu, nikaongozana naye hadi kwenye ofisi yake iliyopo gorofani. Akanikaribisha kwenye kiti kilichopo mbele ya meza yake kisha yeye akaka kwenye kiti kilichopo nyuma ya meza yake hiyo yenye mafaili mengi pamoja na meza ya mezani na simu ya upepo.
“Samahani kwa usumbufu wa vijana wangu, naona walikuchukua pasipo kujua kwamba wewe ni nani”
“Kwa hilo halina tabu, ni vyema nikaondoka na kwenda kuripoti kazini kwangu kwamba kazi yangu iliziwa na vijana wako”
“Hapana hapana, wachukulie ni vijana wezako wale. Endapo wataingia kwenye tabu wengine ndio kwanza hata pesa ya serikali hawajaitafuna”
“Kwa hiyo na mimi nikafukuzwe kazi kwa ajili ya vijana wako, unatambua kabisa kazi yangu ilivyo na uhatari wa hali ya juu, ila bado vijana wako wakaamu kuniharibia ndio nini sasa”
Nilizungumza kwa kumkoromea mama huyo baada ya kugundua amingiwa na hofu kidogo.
“Basi ngoja niweza kuzungumza na bosi wako, ili kukukingia kifua, si unajua tena sote sisi ni watumishi wa uma na kazi yetu ni moja”
Mama huyo alizungumza huku akichomoa simu yake aina ya Samsung Galaxy note 3. Akaminya minya baadhi ya namba ambazo sikuziona na kuiweka simu yake sikioni huku akinitazama usoni.
“Shosti vipi?”
“Safi vipi”
Kutokana na simu hiyo kuwa na sauti kubwa kidogo niliweza kuisikia sauti ya K2, nikatamani kumpokonya simu mama huyo ila nikajikuta nikishindwa na kubaki nikiwa nimemkazia macho.
“Safi tu, bwana nina ombi moja”
‘Ombi gani?’
“Kuna kijana wako hapa alikamatwa na vijana wangu akiwa kwenye kazi yake wakidai alifanya vurugu kwenye moja ya ofisi sasa nikaona nikujulishe mapema isije akaja huko ukawajibisha”
‘Anaitwa nani?’
“Anaitwa Daniel Thamson Kajenge”
‘Mmmmm’
“Mbona unaguna sasa?”
‘Hapana, upo naye hapo au amesha ondoka?’
“Nipo naye hapa ofisini kwangu”
‘Hembu mpatie simu’
Mama huyo akanipatia simu yake, taratibu nikaipokea na kuiweka sikioni mwangu.
“Hallo”
“Hivi Dany unachanganyikiwa siku hizi?”
K2 alizungumza kwa ukali na kunifanya nimtazama mama huyo kwa jicho la kuiba nikagundua anayafwatila mazungumzo yangu kwa umakini.
“Hapana mkuu”
“Ni kitu gani kilicho kupeleka huko kituani. Mbona uinafanya kazi zako kipuuzi kama sio professional aliye fuzu mafunzo eheee?”
“Hapana mkuu haito jitokeza tena”
“Au unahisi kukupa kum* yangu ndio kunakufanya uwe unakuwa mbovu kwenye kazi, mbona hapo nyuma ulkuwa unafanya kazi zako kwa umakini eheee?”
K2 alizidi kunifokea hadi mama huyo nikaamini anayasikia mazungumzo hayo. Nikaka kimya kwani sikujua cha kumjibu K2 ambaye tangu asubuhi alisha nivuruga.
“Sasa hiyo ripoti hadi inafika kesho saa moja asubuhi ninaihitaji ofisini kwangu. Sasa wewe kaa kaa na kuwaza kum* na mkund* wangu uone mwisho wake utakuwa ni nini. Utavuna upuuzi wako huo”
Simu ikakatwa, nikaishusha taratibu sikioni mwangu na kumkabidhi mwana mama huyo aliye baki akiwa amenikodolea macho.

*AISHII U.. KILL.. ME*
SEHEMU YA 12

“Hivi nilicho kisikia ni kweli au……?”
Mwana mama huyo alizungumza huku akiendelea kunikodolea macho yake. Sikuwa na kitu cha kumjibu zaidi ya kukaa kimya.
“Nakuomba niondoke tafadhali”
“Sawa unaweza kwenda”
Nikanyanyuka na kumuacha mwana mama huyo akinisindikiza kwa macho hadi natoka ofisini mwake. Nikashuka kwenye ngazi na kukutana na askari aliye kuwa akisoma kitambulisho changu cha kazi. Sikumsemesha kitu zaidi ya kumpita. Nikapita mapokezi kila askari akabaki akiwa amenikodolea macho. Moja kwa moja nikatoka kituoni. Kusema kweli akili yangu haikuwaza chohote zaidi ya kurudi nyumbani kwangu.
“Bosi nikupeleke wapi?”
Dereva mmoja wa pikipiki alisimama pembeni yangu huku akinitazama. Taratibu nikajikuta nikipanda pikipiki hiyo.
“Nipeleke Sinza kwa Remy”
“Sawa mkuu”
Dereva huyo mwenye pikipiki aina ya boksa akaanza safari. Hadi tunafika maeneo ya Sinza ndipo nikaanza kumuelekeza hadi mtaa ninao kaa. Nikamlipa kiasi alicho nitajia na kuingia ndani. Nikamkuta Mariam akiwa amekaa kwenye kibaraza anasikiliza miziki kwenye simu yake. Nikampita bila samu, na kwa jinsi shati lango lilivyo katika vifungo nahisi aliweza kujiuliza maswali.
Niakatiza kwenye kordo na kukutana na Asma akiwa anatoka kuoga, huku amejifunga tenga moja tu.
“Dany mambo?”
Asma alinisalimia huku akiwa na tabasamu pana usoni mkwa.
“Poa za kushinda?”
“Salama”
Sikutaka kukenua kenua meno, nikafika mlangoni mwangu. Nikafungua mlango na kuingia, nikaanza kuvua nguo moja baada ya nyingine hadi nikabakiwa na boksa. Nikawasha feni na kujitupa kitandani, kilia nikiwaza jinsi ya kuifanya kazi niliyo pewa na ofisi nikajiona nimevuruga mpangilio mzima.
“Ohooo Mungu wangu nisaidie”
Nilizungumza huku nikiwa nimetizama juu. Sikuwa na jibu la uhakika wa nini nifanye. Mazingira ya chumba changu nilivyo yaacha asubuhi kwa muda huu hayaniridhishi kabisa. Nikaanza kuifanya usafi wa kubadilisha mashuka na kuweka shuka jengine, nilipo maliza hapo nikahamia kwenye kufagi na kufuta futa vumbi kwenye meza ya Tv pamoja na redio yangu. Sikuishia hapo nikavaa pensi na tisheti nikatoka nje nikiwa na ndoo ndogo nikinga maji nusu na kurudi nayo chumbani kwangu na kuanza kudeki kila sehemu.
Nikamaliza kufanya usafi wangu huo, nikachukua nguo zangu zote chafu na kutoka nazo nje, nikiwa nimeziweka kwenye dishi langu. Nikaanza kufua, nikiwa ninaendelea kufua Asma akatoka akiwa amevalia suruali iliyo mbana makalio yake makubwa.
“Nakuona leo umeamua kuwa dobi”
“Yaa kidogo dogo si unajua maisha ya ubachela”
“Kweli ila unabidi ufanya uoe Dany, kazi ndogo ndogo kama hizo za kufua zitakuondokea”
“Ni kweli ila bado nipo nipo kwanza si unajua wanawake wa sanana ni pasua vichwa na wengine hatupendi mambo hayo ya kuumizwa kichwa”
Asma akachukua kidoga kilichopo eno hilo la uwani ambapo kuna jiko la wamama kupikia. Akakaa pembeni ya tanki kubwa la maji lililopo hapa nyumani kwetu.
“Ni kweli, lakini kwa sasa hata wanaume munapasua vichwa. Wanake wanawapenda ila hampendeki sijui kwa nini?”
“Sio wote. Hivi jana ilikuwaje kwa jamaa kwa maana ninaona alitaka kukua?”
“Yaani Dany kaka yangu mimi nimesha jichokea. Mwanaume hapendeki, mwanaume ana wivu nashindwa hata nimfananishe na kitu gani. Yaani unavyo niona hapa hata kwenda kwa majirani hataki. Kila kitu amenunua na kuweka ndani, ni mimi na Tv na Tv na mimi, nikichoke ni kulala tu”
“Kwa nini auakuwa hivyo, hakuamini au?”
“Kigezo chake kwamba mimi ni mzuri kwa hiyo nikitoka nje watu wataniiba”
“Hahaaa sasa jana ilikuwaje hadi akakupiga?”
“Jana unajua kisa cha kupigwa ni kwamba. Tulikuwa tunaangalia myereka ya kina Jonh Cena, sasa mimi nikasema John Cena ni mzuri ana kifua kikubwa, basi hapo ndipo ugomvi ukaanza. Akaanza kuseme ohooo sijui umalaya umezidi hadi ninawasifia wanaume kwenye Tv ohooo kimepanda kimeshuka. Sasa nikawa ninamjibu mwenzangu kama ninamtania kumbe akachukulia serious, ndio akaanza kunipiga na kutaka kunichoma na kisu”
Mazungumza ya Asma yakanifanya nicheke na kujikuta hata mawazo ya kazini kwangu yakikaa pembeni kwa maana kwatika maisha yangu sikuwahi kuona wivu wa namna hiyo.
“Yupo wapi sasa mume wako?”
“Kasafiri kaenda Arusha, kapeleka mzigo wa mafuta”
“Mzigo wa mafuta?”
“Ndio mume wangu ni dereva wa magari makubwa yale ya mafuta, siku nyingine hupeleka mafuta Rwanda, Burudi, Congo”
“Ahaaa, sasa jana ulivyo rudi chumbani hakukoroma?”
“Wee ana ubavu, akikoroma tu namwambia ninakuja kukugongea basi anakaa kimya”
Nikamaliza kusuuza nguo zangu, Asma akaniomba kunisaidia kwenda kuzianika. Sikuwa na hiyana nikamuachia kindoo nilicho jaza nguo hizo na mimi nikamalizia kuyafua mashuka yangu.
“Asante mwaya”
“Usijali kaka yangu, sasa ngoja mimi niandae chakula cha usiku”
“Nihesabu basi”
“Usijali, ila unakula ndizi nyama wewe”
“Ahaa hapo mbona umenifikisha”
“Basi ngoja niandae chap chap, si unajua muda umesonga”
“Poa”
Asma akaondoka na kuniacha nikiwa ninasuuza mashuka yangu. Nikamaliza shuhuli hiyo na kuzunguka nyuma ya nyumba kwneye kamba za kuanikia nguo, nikaanika mashuka yangu na kurudi sehemu nilipo kuwa ninafulia. Nikamwaga maji ya mapovu chooni na kuanza kuyasuuza mabeseni hayo.
“Nani amemwaga maji ya mapovu chooni?”
Mariam alizungumza huku akinitazama usoni, tambambua analifahamu jibu lake, ila anatafuta mbinu za kuzungumza na mimi. Sikujibu chochote zaidi ya kubeba mabeseni yangu yote na kurudi nayo chumbani kwangu. Nikayaweka chini ya uvungu na kujitupa kwenye sofa.
“K2 mamae ipo siku nitakuonyesha kwamba mimi mtoto wa mbwa”
Nilijikuta nikizungumza mazungumzo hayo huku nikikagua namba zilizo piga kwenye simu yangu kipindi nikiwa nipo nje ninafua, na namba ya K2 ni moja wapo.
‘Huyu ataniletea chakula kweli, au ana nizingua?’
Nilijiuliza swali hilo huku nikiwasha Tv kufwatilia taarifa ya habari ya saa mbili usiku inayo rushwa na kituo cha ITV.
Hadi taarifa ya habari inamalizika saa tatu kasoro Asma hakuleta chakula chochote. Nikataka kunyanyuka kwenye sofa ili nijiandae kwenda kununua chakula ila, mlango wangu ukagongwa.
“Nani?”
“Mimi”
Nikasikia sauti ya Asma, kwa haraka nikanyuka na kwenda kufungua mlango. Nikamkuta akiwa amesimama huku mkononi mwake ameshika ‘hotpot’ kubwa pamoja na sahani isiyo na chakula.
“Karibu ndani, si vyema kupeana chakula mlangoni”
Asma akatabasamu na kuingia ndani. Moja kwa moja akaelekea mezani na kuweka ‘hotpot’ hilo mezani pamoja na sahani hiyo.
“Chumba chako umekipangilia vizuri, unaweza kusema unaishi na mwanamke”
“Unajua usafi mimi nilifundishwa tangu kipindi nipo sekondari ya bodi, kwa hiyo nimekulia kwenye mazingira ya usafi safi hadi hapa nilipo”
“Kweli Dany, kuna waaume ukiingia vyumba vyao utatamani kukimbia kwa manaa vimepangiliwa vibaya kama stoo”
Asma alizungumza huku akipakua chakula hicho, kinacho nukia vizuri hadi nikajikuta utumbo wangu ukitetemeka kwa njaa na hamu ya kula chakula hicho.
“Oooho nimesahau kijiko”
“Usijali kijiko ninavyo”
“Umeviweka wapi?”
Nikamuenyesha kiji trei cha kuwekea vyombo, akachukua kijiko kimoja na kuja kukiweka kwenye sahani ya chakula. Kabla hatujazungumza chochote sote wawili tukaisikia sauti ya Jumaa huko nje.
“Mariam umemuona wapo Asma?”
Nikamuona Asma akihisi kuishiwa nguvu, kutoka chumbani kwangu akwa anatamani kutoka ila anashindwa atatoka vipi kwa maana chumba change ndio cha kwanza kabisa kwa upande wa uwani isitoshe endpo atatoka na kukutana na mume wake basi inaweza kuzuka kesi nyingine ya kufikiriana vibaya.
“Jamani Dany nitafanyaje, huyo ni mume wangu?”
Asma alizungumza kwa sauti ya chini huku mwili mzima ukimtetemeka kwa woga, hata shuhuli ya kuniandalia ikakata. Kwa haraka haraka nikafikiria kitu cha kufanya. Nikatoka nje na kukuta Jumaa akiwa amesimama uwani, akanitazama kwa jicho kali linalo onyesha dhairi kwamba bado ana kinyongo na mimi. Mariamakanitazama kwa macho ya kuiba na kukaa kimya hata swali alilo ulizwa na Jumaa hakulijibu.
“Mariam mbona unanichunia, si nimekuuliza swali?”
“Mimi sijui ni wapi alipo mke wako”
Kabla Jumaa hajazungumza chochote, nje tukasikia kelele za watu. Kwa haraka Mariam akanyanyuka na kukimbilia nje, Jumaa naye akafwata wote wawili wakatoka nje. Nikarudi chumbani kwangu na kumkuta Asma akiwa amesimama, huku akiwa hana raha kabisa. Nikafungua pazia na kuchungulia kwenye kordo sikumuona mtu wa aina yoyote aliye simama.
“Njoo njoo”
Asma akanyata hadi sehemu alipo mimi, nikatazama tena hakuna mtu na mlango wa mbele ukawa umefungwa na si rahisi kwa mtu kumuona akitoka. Kwa haraka Mariam akatoka na kukimbilia uwani na moja kwa moja nikamshuhudia akikimbilia bafuni. Kidogo na mimi nikashusha pumzi na kupata amani kwa maana ninaamini kitu ambacho kingekwenda kudhaniwa na kila mtu ni kwamba mimi na Asma tuna mahusiano ya kimapenzi wakati si kitu sahhihi.
Kelele zilizidi kusikika nje na kujikuta na mimi nikitoka kwneda kuhushudia ni kitu gani kinacho endelea. Nikiwa nimefika mlango wa kutokea nje, kabla sijaufungua akaingia mama mwneye nyumba.
“Mama vipi huko kuna nini?”
“Nyuma yam zee Jongo inawaka moto”
Mama Mariam alizungumza kwa haraka haraka huku jasho likimwakia, akaingia chumbani kwake na kunifanya na mimi kutoka kwa haraka na kwenda kushuhudia. Nikatoka getina na kupishana na watu wengi wakikimbilia ilipo nyumba ya mzee Jongo. Na mimi nikaungana nao na kwenda hadi sehemu ilipo nyumba hiyo.
Nikafika na kukuta nyumba hiyo ya kifahari ikiteketea kwa moto. Mwingi huku vijana na wamama wakijitahidi kuuzima moto huo na kuokoa baadhi ya vitu vya garama vilivyomo kwenye nyumba hiyo.
“Jamani mwanangu”
Mzee Jongo alilalama huku machozi yakimwagika, watu cha kushangaza walibaki wakimkodolea macho. Kwa haraka nikamsogelea na kumuuliza mwanye huyo yupo wapi.
“Ndani baba yangu, gorofani kule”
Mzee Jongo alinijibu huku akinitazama usoni mwangu. Nikatazama moto huo unao endele kuteketea. Kwa haraka nikafanikiwa kuona sehemu ambayo ninaweza kuingilia na haina moto mwingi. Nikaanza kukimbia kuelekea ndani. Nikafika kwenye mlango wa uwani ambao wanautumia kama dharura, nikasukuma kwa kujirusha na kuanguka nao hadi chini. Moshi mwingi nilio kutana nao hakunizuia kuweza kuingia huku nikiwa nimebana pumzi zangu kwa umaridadi mkubwa kabisa ili nisiweza kuvuta moshi huo. Nikapandisha gadi gorofani, nikasikia sauti ya msichana ikilia kwenye moja ya chumba ambacho mlango wake umefungwa.
Nikajivuta nyuma kwa haraka na kuupiga teke mlango huo ulio funguka na kunipa nafasi ya mimi kuweza kuingia ndani. Nikamkuta binti mrefu akiwa ameanguka chini, hii ni baada ya mimi kuusukuma mlango wake. Kitanda chake kilisha anza kushika moto kitu ambacho kimemuokoa na kumuweka hai hadi sasa hivi ni ukubwa wa chumba chake na uchache wa vitu vya ndani.
“Panda mgongoni mwangu haraka”
Nilimuambia binti huyo ambaye mara nyingi niliweza kumuona akitoka kwenye nyumba hiyo ya kifahari siku za nyuma akitumia gari lake aina ya Harrier Lexux na ni msichana mwenye nyodo sana na asiye penda hata kusalimiwa na vijana wa hapa mtaani kwetu.
Akapanda mgongoni mwangu. Nilipo hakikisha amekaa vizuri, nikavuta pumzi nyingi itakayo nisaidia kutoka na kuupita moshi huo mwingi.
“Moja, mbili, tatuuuu”
Nikatoka kwa haraka na kuanza kushusha ngazi hizo zilizo tengenezwa kwa saruji. Moshi mwingi na mkali na uzito wa msichana huyualiye nishikila vizuri, vilichangia sana kuanza kunifanya nianza kuhisi kuishiwa na nguvu. Nikaanza kupita katika njia ambayo nilipita hapo awali, kwa bahati mbaya nikakuta apande wa mbao unao waka moto ukiwa umeziba mlango wa dharura hata mlango weyewe nilio kuwa nimeusikuma umeanza kushika moto.
“Shuka mgongoni upite”
“Eheee……?”
Binti huyo aliniuliza huku akizidi kuning’ang’ania kwa nguvu akionyesha ni dhairi kwamba anaogopa kabisa kushuaka. Ikanibidi kumshusha kwa nguvu kisha nikauchukua mlango ambao unawake moto, sikujali kama ninaungua au laa. Kwa kuutumia mlango huo nikaanza kusukuma mbao iliyo zuia hapo mlangoni.
Binti huyo badala ya kunisaidia alianza kulia huku akipiga mayowe, nikatamani hata kumziba makofi ila nikaona nikitumia hasira sote tutateketea kwa moto ndani hapo. Cha kumsukuru Mungu mbao hiyo ikakatika na kutupa uwazi wa kuweza kupita.
“Pita wewe”

AISHII..U.... KILL... ME
SEHEMU YA 13



Nilizungumza kwa ukali, binti huyo akaanza kuweweseka. Nikamtandika kofi moja la shavu kumtoa mawenge yake ambayo ninahisi yanataka kutupelekea kifo.
“Eheee”
“Mseng* nini, nimekuambia pita unashangaa nini?”
Binti huyo akapita kwa haraka na kufanikiwa kutoka nje, nikapita na mimi ila kabla sijafanikiwa kupita kuna kipande cha bao kinacho waka moto kikaniangukia mgongoni na kushika kwenye tisheti yangu, nikahitahidi na kutoka nje na kuanza kuminyana na tisheti yangu ambayo imenibana mwili wangu, kuivua. Kwa bahati nzuri nikafanikiwa kuivua, japo kuna baadhi ya maeneo ya mgongoni nilipata majeraha ya kuungua pamoja na mikononi.
“Umeungua”
Aliniambia binti huyo niliye muokoa kutoka ndani, Mzee Jongo akatufwata hadi sehemu tulipo simama na binti yake. Wakakumbatiana na mwanaye kwa furaha. Nikataka kuondoka ila mzee Jongo anakizuia.
“Nakushukuru sana kijana”
“Asante”
“Unaitwa nani kijana?”
“Dany”
“Asante sana”
“Dany umeungua mgongoni?”
Binti huyo alizungumza na kumfanya baba yake kunitazama mngongoni.
“Mungu wangu, unatakiwa kwenda hospitalini”
“Hakuna haja mzee wangu”
“Noo umeungua sana, sema hujioni”
Mzww Jongo alizungumza kwa msisitizo.
“Lucy si unaweza kuendesha gari vizuri?”
“Ndio dady”
“Mpeleke mwezako, hospitalini akapatiwe matibabu”
“Sawa dady”
Lucy akaelekea kwenye maegesho ya magari yao ambayo yapo mbali kidogo na nyumba yao kubwa inayo zidi kuteketea kwa moto. Lucy akapiga honi na kuniashiria nimfwate kwenye gari lake. Nikaeleke hadi sehemu alipo, kwa ishara akaniomba kuingia ndani ya gari, tukatoka kwenye geti la upande wa pili wanyumba hiyo ambalo ametufungulia mlinzi wao. Safari ya kuelekea hospitali ikaanza, ndani ya gari sote tulikaa kimya, ikanibidi kuuvunja ukimya wetu.
“Chanzo cha moto ni nini?”
“Kusema kweli sifahamu kwa maana mimi mwenyewe nilikuwa nimesha anza kulala”
“Ahaa sawa”
Kutokana damu imesha anza kutulia, hapo sasa ndipo nilipo anza kuyasikia maumivu ya majeraha ya moto niliyo yapata mgongoni na mikoni. Tukafika hospitalini, kwa haraka tukaelekea mapokezi huku nikiwa kifuwa wazi, sikuona aibu ya kutembea hivyo ila nilicho kifikiria kwa muda huo ni jinsi gani majeraha hayo yanavyo weza kutulia kwa maana yananiuma kupita maelezo. Lucy akawaelezea manesi tatizo langu, kwa haraka nikaingizwa kwenye chumba cha matibabu, nikachomwa sindano kwenye mkono wangu wa kushoto.
“Hii ni sindano ya nini?”
“Kutuliza maumivu”
“Sawa”
Nesi anaye nihudumia akaanza kunipaka dawa ya maji maji, aliyo nieleza ni ya kusafisha kidonda na kuua backteria ambao wameingia kwneye majeraha yangu. Alipo maliza akanipaka dawa nyingine kisha mikononi akanifunga bandeji.
“Itabidi leo upumzike hapa, kesho tunaweza kukuruhusu”
“Sawa. Ninaomba uniitie huyo msichana niliye kuja naye hapo nje”
“Sawa”
Nesi huyo akakusanya vitendea kazi vyake kisha akatoka, akaingia Lucy huku akinitazama usoni.
“Vipi wamekuhudumia vizuri?”
“Ndio”
“Ohmm masikini pole mwaya”
“Asante”
“Sasa wamekuambiaje?”
“Wameniambia leo nipumzike hapa kesho ndio wanaweza kuniruhusu”
“Daaa, sawa basi nitalipia kila kitu, kisha nitakwenda nyumbani kuangalia ni kitu gani kinacho endelea na asubuhi na mapema nitakuwa hapa”
“Sawa”
Lucy akanitazama kwa sekunde kadhaa kisha akatoka ndani humo. Baada ya dakika kama sita hivi nesi mwengine akaja na kunimba nimfwate, tuakaelekea kwenye moja ya chumba chenye kitanda cha peke yake, huku kikiwa na Tv, sofa pamoja na choo cha ndani kwa ndani.
“Utalala humu kaka, ukiwa na tatizo lolote basi utawasiliana na mimi, simu ipo hapo mezani”
“Sawa dada yangu”
Nikaingia bafuni na kukuta kioo, hapo ndipo nikageuka na kujitazama mgongoni. Nikatamani kuzimia, kwa maana kidondo ni kikubwa sana karibia nusu ya mgongo mzima.
“Haya ndio matatizo ya kujifanya shujaa”
Nilizungumza huku nikiendelea kujitazama, jinsi gozi ilivyo babuka. Nikarudi chumbani nikawasha tv, hapakuwa na jipya.
‘Kesho kazini itakuwaje?’
Ni swali jengine nililo jiuliza huku nikilala kifudi fudi juu ya kitanda hicho. Kuchoka ukijumlisha na mawazo mengi yanayo kisumbua kichwa changu nikajikuta nikiwa nimelala fofofo.
*
“Unaendeleaje?”
Nilisikia sauti ya Lucy iliyo nifanya kufumbua macho yangu. Nikamkuta Lucy na mzee Jongo wakiwa wamesimama pembeni ya kitanda nilicho lala.
“Kijana vipi?”
“Safi mzee shikamoo”
“Marahaba, unajisikiaje na hali”
“Ahaa maumivu kwa mbali tu”
Nilizungumza huku nikinyanyuka kitandani. Nikakaa kitako hukuna kuwatazama. Leo ndipo nikapata nafasi ya kumtazama Lucy vizuri. Kusema kweli ni msichana ambaye amebarikiwa asilimi tisini na tisa ya uzuri. Kila sehemu ya mwili wake imeumbwa na kuumbika, ninaamini mwenyezi Mungu alitumia muda weke mwingi sana wa kuumba Lucy. Urefu wake wa futi sita na pointi kadhaa kwenda juu, uliweza kuendana kabisa na muenekano wa sura yake iliyo kaa kama Mrwanda.
Kifua chake kimebeba maziwa madogo wastani, huku tumbo lake kikiwa limepigwa pasi. Sasa maeneo ya kiunoni sasa hapo ndipo kwenye kila aina ya maufundi ya mola. Kuna msemo unao sema ukisikia kwamba kunawanawake wameumbwa ni kweli wameumbika, basi Lucy naye yupo kwa wale ambao ni kweli wameumbika.
Kiuno chembamba wastani, kimeshikilia hispi zilizo jichora kama namba nane, makalio makubwa kiasi yanayo shikiliwa na hipsi hizo zilizo shikiliwa na miguu iliyo jaziwa. Unywele mrefu ambao ni waasili wa Lucy unao fika mgongoni ndio unao zidi kumpa vigezo vingi vya uzuri.
“Dany mbona unamshangaa sana binti yangu?”
Sauti ya mzee Jongo ilinistua na kujikuta nikimtazama usoni mzee huyo.
“Ahaa hapana nafikiria ile ajali ya jana ya moto. Vipi mzee mumepata kutambua chanzo ni nini?”
“Ndio, ni mtungi wa gesi, msichana wa kazi aliweza kusahau kuufunga sasa sijui ikawaje ukalipuka na kusababisha moto”
“Pole sana mzee”
“Ahaa nimesha poa. Lucy kamuite nesi waje kumshuhulikia kijana kama kuna chochote cha kufanya waje kumfanyia”
“Sawa baba”
Kitendo cha Lucy kutoka, kwa kona ya jicho langu la kushoto ndipo nikapata nafasi ya kuona wezere la Lucy jinsi linavyo tingishika kwenye suruali yake aliyo ivaa. Kitendo cha macho yangu kumtazama mzee Jongo macho yetu yakakutana na kumfanya mzee huyo kutabasamu naamini alinistukia kwa kile nilicho kifanya.
“Kijana hivi unafanya kazi gani?”
“Ahaa mimi, mimi nipo ofisi moja hivi ya serikali”
“Ofisi gani kwa maana mimi nipo ofisi ya raisi”
Kusikia hivyo nikastuka kidogo ila nikajikaza kwa maana hawa ndio watu wakubwa wa nchi hii.
“Mimi nipo ofisi ya usalama wa taifa”
“Ohoo, safi sana. Ndio maana jana usiku nikawa ninakufikiria kijana jasiri kama wewe kwa mtaa ule wetu sijaona, kumbe upo huko?”
“Ndio”
“Basi inabidi nifanye kitu kwa ajili yako kwa maana nisiwe mnafki, pasipo wewe leo hii mimi nisinge kuwa na firaha hii”
“Kwa nini mzee”
“Huyu ndio binti yangu wa pekee, tangu mama yake afariki akiwa binti mdogo basi upando wangu nikaumalizia kwa mke wangu, na endapo kama jana angefariki nahisi hata mimi leo nisinge kuwa hai”
“Usijali mzee wangu”
“Lazima nijali, wewe ni mtu ambaye hukunitazama kama wale watu walio kuwa wamenizunguka. Uliweza kuyahatarisha maisha kwa ajili ya Lucy wangu. Sasa ni kwanini nisikupe zawaidi”
Mzee Jongo alizungumza huku akitabasamu. Wakaingia Lucy na nesi aliye nihudumia jana. Akaja akiwa na vifaa vyake, akasalimiana na mimi pamoja na mzee Jongo kisha akaanza kunisafisha kidonda change.
“Kimesha anza kukauka, usivae nguo za kubana sana”
“Sawa nesi”
“Je kidonda chake kitapona baada ya muda gani?”
Mzee Jongo alizungumza huku akimtazama nesi huyo usoni.
“Siku nne hadi tano kitakuwa kimesha kauka. Tutamuandikia sindano za kukausha hicho kidonda kwa haraka na kila siku atakuwa anakuja kuchoma ndani ya siku hizo nne”
“Sawa, Lucy jukumu hilo utalichukua wewe sawa”
“Sawa dady”
“Je leo tunaweza kuondoka naye?”
“Ndio leo hali yake ni nzuri sio kama jana”
“Sawa, Dany utaongozana na sisi sawa”
“Sawa mzee”
“Lile shati umekuja nalo”
“Ndio baba, ila nimelisahau kwenye gari”
“Nenda kachukue mwenzako atatokaje”
Lucy na nesi wakatoka na kutuacha mimi na mzee Jongo.
“Lucy mwanangu anamatatizo ambayo, yanatakiwa kutatauliwa na mwanaume”
“Matatizo gani tena mzee”
“Ahaa bwana mdogo, usitake nikufanulie naamini umesha jua. Mwanangu ana tatizo ambalo akipata mwanaume shababi basi anaweza kulitatua kwa haraka na atajivunia kuwa na mwanagu”
Nikatambua mzee Jongo ana maanisha nini, ila sikujau ni kwanini ameamua kuniambia mimi swala hilo.
“Kwa nini umeniambia mimi hilo swala”
“Ahaaa nimekuambia hilo ili umchangamkie bwana. Niliweza kumtunza mwangu hadi sasa amefikisha miaka ishirini na nne naaamini bado kufu……”
Mzee Jongo akanyamaza baada ya Lucy akuingia akiwa amesika shati jipya lililopo kwenye mfuko wake wa nailon. Lucy akaufungua mfuko huo na kulitoa shati hilo ambalo kwa haraka haraka ni saizi yangu kabisa.
“Mvalishe mwenzio, si unaona mikononi ana mabandeji”
Lucy akanza kunivalisha, alipo maliza nikanyanyuka kitandani. Tukatoka nje tukiwa tumeongoza, tukaingia kwenye gari na safari ikaanza huku Lucy akiwa ndio dereva.
“Daughter utaniacha kazini, kisha mutaelekea home sawa”
“Sawa Dady”
Sikujua ni nyumbani wapi tunapo elekea, tukafika kazini kwa mzee Jongo akashuka, akiwa anashuka akaninkonyeza hapo ndipo nikajua kwamba mzee alicho kuwa anakizungumza kina ukweli na si masihara.
“Njoo ukae siti ya huku mbele”
Lucy alizungumza, ikanibidi kushuka kupanda siti ya mbele ambayo hapo awali alikwa amekalia mzee Jongo. Safari ikaanza kuelekea nyumbani kwao.
“Tunakwenda wapi?”
“Nyumabani, kuna nyumba yetu ipo masaki ndipo tunapotakiwa kwenda kuishi”
“Ahaa sawa, ila itabidi unipeleke kwangu”
“Huko labda baadaye kwa maana baba ameagiza nikupeleke kwanza Masaki na ameagiza uishi hapo hadi utakapo pona”
Lucy alizungumza huku akizidi kuendesha gari lake. Tukafika kwenye jumba jengine la kifahari ambalo linaonekana ndio lipo kwenye hatua za mwisho kabisa za matengenezo.
“Karibu Dany”
Lucy alizungumza mara baada ya kushuka kwenye gari, tukaelekea ndani. Nimsha wahi kuingia kwenye majumba ya kifahari ndani ya hili jiji la Dar es Salaam ila katika hili jumba la Mzee Jongo ni maradufu. Jumba limejengwa kwa ustadi wa hali ya juu huku nashi zake kwenye kuta na milango kwa ndani zikiwa ni dhahabu.
“Twende”


AISHII.. U.. KILL.. ME
SEHEM YA 14



Lucy alizungumza mara baada ya kuniona nikiwa ninashangaa shangaa. Tukaingia kwenye lifti japo ni nyumba ya gorofa moja ila ina lifti yake. Tukafika juu, nikakuta seble nyingine hii ikiwa imeizidi seble ya chini mara dufu.
“Hichi ndio chumba utakacho kuwa unakitumia kwa maagizo ya baba kama jinsi alivyo sema”
Nikaingia kwenye chumba hicho, kwa jinsi kilivyo kikubwa kikanifanya nibaki nimeduwaa.
“Njoo nikuonyeshe kitu”
Lucy alizungumza huku akielekea kwenye mlango mmoja ulipo ndani ya chumba hicho, akaufugua na kuingia ndani na mimi nikaingia ndani.
“Hili ni bafu, sinki hilo la kuogea lote limetengenezwa na dhahabu hata hayo mabomba unayo yaona hapo pembeni yametengenezwa na dhahabu”
Lucy alizungumza, kitendo cha yeye kugeuka na kunitazama, usoni tukagonda vifua na kujikuta chocho zake zilizo simama vizuri zikigusana na kifua change kilicho jengeka vizuri kwa mazoezi.

“Ahaa am sorry”
Lucy alizungumza huku akitazama chini kwa aibu, akataka kusogea pembeni ila nikamuwahi kumshika kiuno. Tukatazama usoni kwa dakika kadhaa, nikamuona jinsi Lucy anavyo tetemeka kwa woga kwenye midomo yake inayo chezacheza.
“Dany”
“Mmmm”
Lucy akaka kimya baada ya mimi kuitikia hakujibu kitu chochote, nikamsogeza karibu kabisa na mwili wangu, miili yetu ikagusana kabisa. Lucy akazidi kutetemeka na kujikuta akifumba macho na kushindwa kunitazama kabisa usoni mwangu.
Nikasogeza lipsi zangu taratibu hadi zikagusana na lipsi zake. Lucy akakunja kabisa sura yake na kuyapandisha mabega yake juu kidogo akionekana kuogopa sana kwa kitu ambacho ninataka kukifanya. Nikameza mate kidogo kisha nikarudisha kichwa changu nyuma na kumuachia mkono.
Nikaendelea kutazama bafu hilo lililo tengenezwa vizuri sana, akilini mwangu ninakwaza juu ya utajiri wa mzee Jongo, akiwa kama mtumishi wa serikali japo yupo ngazi ya juu, ila pesa zote hizi amezitolea wapi. Lucy akatoka bafunu humo pasipo kunisemesha kitu cha aina yoyote. Ikanibidi na mimi kutoka, sikumkuta pia katika chumba hichi.
“Amekwenda wapi huyu?”
Nilizungumza huku nikielekea mlangoni, nikafungua na kumuona akiingia kwenye moja ya chumba kilichomo huku juu gorofani.
“Anatatizo gani huyu?”
Nilijiuliza huku nikielekea kwenye chumba hicho, nikakuta mlango ameurudishia tu na kuna kijiupenyo kidogo ambacho unaweza kuona ndani. Nikausukuma taratibu na kuchungulia ndani. Nikamuona Lucy akiwa amekaa kitandani huku akimwagikwa na machozi usoni mwake.
‘Ina maana amechukizwa na kumkiss?’
Ikanibidi kuingia chumbani humo, Lucy akanyanyua kichwa chake. Kwa ishara ya mkono akanionyesha ishara ya kutoka chumbani humo.
“Lucy kuna tatizo lolote jamani?”
“Nimesema ondoka chumbani kwangu”
Hapo Lucy alizungumza kwa hasira hadi nikabaki nikiwa nimemkodolea macho kwa maana sikutarajia msicha mzuri kama huyu anaweza kukasirika kwa namna hii.
“Lakini Lucy si…..”
“Koma kuniita jina langu, sitaki mazoea na wewe, hata kama umeniokoa na moto ila masikini kama wewe huwezi kuwa na mimi”
Maneno ya Lucy yakapenya moja kwa moja kwenye moyo wangu. Nikamtazama Lucy kwa macho yaliyo jaa uchungu, nikajikuta nikianza kujutia moyoni mwangu ni kwa nini nimejitia kwenye majaribu ya kumsaidia hadi leo sehemu ya mgongo wangu imepatwa na majeraha.
“Look at yourself. Do you think unaweza kuwa na msichana kama mimi ehee”
Lucy alizidi kuzungumza kwa dharau huku akinitazama usoni mwangu. Akanipandisha kwa macho na kunishusha kisha akaachia msunyo mkali ulio anza kunipandisha hasira.
“Let me tell you this. Wewe sio level yangu, na siwezi kuwa na wanaume wa Sinza kama wewe. Toka chumbani kwangu kabla sijakufanya kitu mbaya”
“Asante”
Nilizungumza huku machozi yakinilenga lenga. Nikatoka chumbani kwake, sikuona hata haja ya kurudi katika chumba nilicho ambiwa nitakaa humo. Sikutumia lifti iliyopo ndani humo, nikaanza kushuka kwenye ngazi za chumba hicho kwa haraka, nikatoka nje ya nyumba hicho. Nikafika getini mlinzi akanifungulia huku akinitazama usoni kwa kunishangaa kwa maana machozi yalisha anza kunilenge lenga. Ubaya wa huku Masaki, pikipiki wala bajaji hazipiti piti mitaani, ikanibidi kuanza kutembea hadi kwenye kituo cha dalala, nikakodi pikipiki, dereva akanipeleka hadi Sinza ninapo ishi.
“Nisubiri nikuletee pesa yako”
“Sawa bosi”
Nikaingia ndani, moja kwa moja nikaelekea chumbani kwangu, kitu kilicho nistua kidogo ni kuukuta mlango wangu upo wazi kidogo. Nikakumbuka kwamba jana sikuweza kuufunga na funguo ila niliuurudishia tu.
Nikaingia kwa kuusukuma taratibu. Macho yakanitoka baada ya kumkuta K2 akiwa amelala kitandani huku amejifunga taulo kiunoni mwake na amelala kifudi fudi.
Sikumstua chochote zaidi ya kuchukua pesa kwenye waleti yangu iliyokuwa kwenye sofa, nikatoka nje na kumlipa dereva bodaboda na kurudi chumbani kwangu.
Nikamtazama jinsi K2 alivyo lala kitandani na makalio yake yalivyo ju. Nikatamani hata kuchukua mkanda na kuyacharaza pasipo uruma ila heshima ya kazi nikajikuta ikinivaa taratibu nikajikuta nikimgusa mgongoni na kumtingisha.
“Bosi, Bosi”
“Mmmmm”
K2 alizungumza huku akijigeuza taratibu. Akanitazama usoni mwangu, akaachia tabasamu pana kidogo.
“Umerudi?”
“Ndio, umekuja kufanyaje chumbani kwangu?”
“Kwani kuna ubaya wa mpenzi kuja nyumbani kwa mpenzi wake”
K2 alizungumza huku akikaa kitako kitandani, kwa jinsi ninavyo mtazama usoni mwake nikatamani kumtandika kofi kama alili nipiga jana asubihi, ila nikajikuta nikibaki nimemkazia macho. K2 akanitazama mikononi na kuishika kwa haraka na kuitazama.
“Dany umefanyaje mikono yako?”
“Niliungua na moto”
“Moto, wapi na ilikuwaje kuwaje?”
“Sihitaji maswali mengi”
Nilizungumza huku nikinyanyuka kitandani, taratibu nikalivua shati nililo livaa huku nikimtazama K2 usoni.
“Dany, natambua kwamba una hasira na mimi, ila unatakiwa kunijibu basi maswali yangu”
“Hatupo ofisini kwa kusema uweze kuniamuru kuweza kuyajibu maswali yako sawa”
Nilizungumza kwa ukali hadi K2 mwenyewe akashangaa, nikatembea hatua chache na kufungua friji. Hapo ndipo K2 alipo kurupuka kitandani na kunisogelea, huku akinitazama mgongoni mwangu.
“Dany huku pia mgongoni umeungua?”
“Mimekuambia sitaki maswali sawa”
“Lakini Dany tambua kwamba nina kupenda na nilicho kufanyia jana sio kama nilikifanya makusudi ni hasira tu niliyo toka nayo nyumambani kwangu”
“Sihitaji kujua kwamba ulikuwa na harisa kutoka nyumbani kwako au laa, ninacho kihitaji sasa hivi nitulie. Kama utalala hapo kitandani wewe lala, kama utataka kuondoka wewe ondoka”
Nilizungumza huku nikitoa soda a kopo alizo zinunua Mariam”
“Dany”
K2 aliniita kwa upole huku akijaribu kunishika mkono wangu, ila nikuasogeza mkono wangu pembeni kwa nguvu, asinishike kabisa.
“Dany juzi mume wangu niligombana naye so niliamka na hasira ila nakuomba unisamehe sana”
“Msamaha huo kamuombe mume wako, hivi unahisi kwamba unaweza kuzilazimisha hisia zangu kwako. Tangu jana ulipo ninyayasa kwa kunitandika kibao hisia zangu zilizo anza kuvutiwa na wewe zilifutika kabisa kwako”
“Nitabaki kukuheshimu kama bosi wangu, na wewe nakuomba uniheshimu kama mfanyakazi wako. Na tunapo elekea nitaandika barua ya kuacha kazi”
“What, uache kazi kwa ajili yangu?”
“Ndio”
“Ila tambua kazi yetu mtu uwezi kuacha hadi mauti yatakapo kukumba”
“Natambua hilo, ila mimi ndio nitakuwa wa kwanza kuacha kazi kwenye kitengo hichi, utafurahi na roho yako.”
Nikagugumia fumba la soda, na kukaa kitandani, K2 naye akaka kitandani huku akinitazama kwa macho yaliyo yaa wasiwasi mwingi.
“Dany, nipo tayari kufanya chochote ila si kukuacha wewe, nimesha kupenda”
“Eheee, hivi unatambua kwamba mimi na wewe hatuaendani. Umenipita hata miaka kumi na tano. Hivi unadhani pale ofisini watu wakitambua kwamba mimi na wewe tuna mahusiano, watananichukuliaje mimi. Niache nitafute kijana mwenzangu ambaye anaweza kukidhi haya ya mwili na moyo wangu”
“DANY INATOSHAAAAAA…….”
K2 alizungumza huku akifumba macho yake, machozi yakaanza kumwaika usoni mwake. Sikulijali hilo kwa maana na yeye amenikuta nikiwa kwenye hali ambayo sio nzuri kusema kweli kwa maana maneno aliyo nieleza Lucy yanazidi kujirudia rudia mara kadhaa kichwani mwangu.
“Dany nakuomba unipe japo mara ya mwisho nitakuwa tayari kuachana na wewe”
“Nisikilize K2, hujanipenda mimi, umenitamani na siku zote zipendi mwanamke ambaye ananitamani kwa maana sipendi huo upuuzi wa kutamaniwa sawa”
“Dany jamani nakupenda au unataka nitoke nje uchi niwaambie wapangaji wezako kwamba ninakupenda”
“Haaa toka”
K2 akasimama akalivua taulo na kulitupia kitandani, akavua bikini aliyi ivaa na kuanza kupiga hatua hadi mlangoni, akaufungua, kwa haraka ikanibidi kumuwahi na kumshika mkono na kumrudisha ndani.
“Mtu mzima wewe, unataka kufanya nini?”
“Kwani mtu mzima hapaswi kupenda”
“Acha useng……”
K2 akaniwahi kwa kuninyonya mdomo wangu. Nikajaribu kujitoa mikoni mwake ila nikashindwa kutoka na kuniwahi kuning’ang’ani. Tukakokotana hadi kitandani, ambapo K2 alinikalisha na kuanza kuufungua mkanda wa suruali yangu, akanivuasuruali yangu na kuitupa pembeni. Sikuwa na ujanja kwa maana matamanio ya mapenzi tayari yalisha mvaa jogoo wangu aliye simama wima.
Akamchomoa kwenye boksa yangu na kuanza kumchua huku akimtazama kwa macho ya matamanio. Akachuchumaa chini na kuanza kucheza na jogoo wangu.
Mawazo ya kuyafikiria maneno ya Lucy taratibu yakaanza kunitoweka kichwani mwangu. Kwa jinsi K2 anavyo cheza na jogoo wangu, sikutamani hata kumuachia kwa maana alimnyonya kwa fujo ambazo zinanifanya nijisikie raha hadi kisogoni.
Akaanza kunyonya vitenesi vyangu, huku kwa mara kadhaa akivituta na lipsi zake, hakuishia hapo akaanza kumpigisha jogoo wangu kwenye mashavu yake na kunifanya nizidi kujisika raha.
‘Masikini wee anajitahidije’
Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimtazama K2, jinsi anavyo hangaika na jogoo wangu, japo ninajisikia raha ya namna yake, ila moyo wangu bado haupo kwake. Akanyanyuka, akatema mate kidogo kwenye kiganja cha mkono wake wa kulia, akajipaka kwenye kitumbua chake, kisha akanigeuzia mgongo wake huku akiwa amemshika jogoo wangu kwa mkono wa kushoto.
Taratibu akaanza kumuingiza kwenye kitumbua chake. Taratibu akashuka naye hadi akazama wote kwenye kitumbua. Kitu kinacho nifurahisha kwa K2 ni jinsi anavyo jituma katika swala hilo, sio kama baadhi ya wanawake nilio wapitia ambao ni wavivu hadi wanakoseha ladha ya kuwa na mahusiano nao.
Ikawa ni kazi ya kufanya zoezi ambalo ninaweza kulifananisha na kichura chura, ila utofauti uliopo ni kwamba mazoezi haya K2 amakikalia kitumbua changu na jinsi anavyo kizungusha kiuno chake nilijikuta nikiyafumba macho kwa raha ninayo isikia.
Nikayafumbua macho yangu pale K2 alipo mchomoa, jogoo wangu kwenye kitumbua chake, akampaka mate kidogo na kutana kumuingiza kwenye mkund**
“Unataka kufanyaje?”
Nilimuuliza K2 huku nikiwa nimemtolea macho kwa maana sipendi mchezo wake. K2 akageuka huku jasho likiwa linamwagika uso mzima.
“Dany nawashwa bwana”
“Si nilisha kueleza kwamba sipendi hii tabia yako”
“Dany nionee huruma, nikune kidogo tu tafadhali”
K2 akageukia alipo kuwa amegeukia, taratibu akamuingia jogoo wangu alipo kuwa amekusudia kumuingiza, hapo ndipo kasi yake ya kumkalia ilipo ongezeka mara mbili zaidi ya pale alipo kuwa amemuingiza kwneye kitumbua chake.
“Ohooo Dany Dany”
K2 alipiga makelele ya raha, na kujisahau kabisa kwamba hapa tulipo ni nyumba ya kupanga. K2 akaendelea kuzungusha kiuno chake huku mikono yake miwili akiwa ameyashika maziwa yake yasiruke ruke.
“Usipige kelele bwana”
“Oooooooiiiiiii Aiisisssssss u kill meeeeeeee”
Ndio kama nilimuambia kwamba azidisha makelele, nikatamani kumziba mdomo ila nikajikuta nikishindwa kutokana na viganja vyangu kuwa na majeraha ya kuungua.
“Kill my Ass Dany……Ooooooo”
“K2 tu acha kelele bwana nini, ujue nitaacha”
Muda huu ilinibidi kuzungumza kwa sauti yakufoka kwa maana kelele za K2 zimezidi kiwango, na ninaamini kama kuna mtu nje basi anaweza kusikia kila kitu.
K2 akanyamaza huku kichwa chake akitazama juu, na kuzidi kuongeza kasi ya kujikuta mkund** wake na jogoo wangu, raha niliyo anza kuipata kitokana na waarabu weupe wanao taka kutoka, nikajikuta na mimi nikifumba macho huku nikiwasikilia wanavyo safiri kutoka miguuni hadi, wakapanda mapajani, kiunoni hadi wakaanza kukaa usawa wa kutoka.

AISHII... U.. KILL.. ME
SEHEM YA 15



“K2 nakojoaa……”
“Kojoa tu”
Viungo vyote vya mwili wangu vikapata raha ambayo siku zote wanaume tukifika hatua hiyo tunaweza kujikuta tukaropoka maneno ambayo hata hayapo kwenye huu ulimwengu, ili maradi kuwasindikiza waarabu hao. Waarabu weupe wakatoka kwa kasi na kunifanya nifumbue macho yangu huku nikiwasikilizia wakitapakaa kwenye mkud* * wa K2. Kitendo cha kufumbua macho yangu, nikakutana uso kwa uso na Marim aliye simama mlangoni akitutizama kwa kuduwaa, na kunifanya mapigo yangu ya moyo kuniaenda mbio, nilipo mtazama K2 mwenzangu bado alitazama juu huku akiyabana maziwa yake kwa nguvu.

Mariam ona tunatazama, akatoka kwa haraka hata kabla K2 hajamuona.
“Ohooo Dany your so cryz”
Sikumjibu chochote K2, kwa maana mawazo yangu yote nilisha anza kumfikiria Mariam ambaye ni msichana aliye ziteke hisia zangu za ukweli za mapenzi. K2 akanyanyuka taratibu na kujilaza kifudifudi kitandani huku akiyatingisha makalio yake.
“Hapa nimepata hata nguvu ya kufanya kazi leo ofisini kwa maana mwenzako sikuwa na nguvu kabisa ya kufanya kazi ofisini”
“Kwa hiyo auendi ofisini?”
“Nitakwenda, kwa maana mkund** mzima ulikuwa ukiniwasha washa nilipo kuwa ofisini”
“Mbona hukuja na gari?”
“Ahaaa sikutaka watu wafahamu ninapo kwenda, nilikodisha taksi hadi hapa”
“Ok fanya ukaoge?”
“Dany subiri kwanza ziingie vizuri”
K2 akaendelea kujilaza, kutokana na jasho nililo lipata sikutaka kukaa nalo. Nikajifunga taulo na kutoka nje, kwenye kordo hapakuwa na mtu wa aina yoyote, nikarudi chumbani na kuchukua sabuni na moja kwa moja nikaelekea bafuni. Kimbebe kikawa ni kwenye kuoga kwa maana vidonda vikiingia maji vinauma kupita maelezo. Nikaoga kiaina aina huku nikihakikisha kidonda cha mgongoni sikitii maji.
Japo vidonda vya mikononi vinakumbana kwa maumivu makali ya maji ila nikajikaza hadi nikamaliza zoezi langu, nikafungua bandeji zote nilizo fungwa viganjani, nikatoka nazo bafuni huku nikiwa nimejifunga taulo. Nikiwa naelekea kwenye ndoo ya matakataka nikakutana na Mariam akataka kunisemesha kitu ila alipo niangalia mgongoni akastuka. Nikaziweka bandeji hizo kwenye kindoo hicho cha taka kisha nikampita kama sijamuona, nikaingia chumbani kwangu na kumkuta K2 bado akiwa amejilaza.
“Bafu lenu lipo kwa wapi?”
“Ukitoka huko uwani utaiona milango miwili, wa mwisho kabisa ni mlango wa choo na pembeni upande wa kushoto kwako ni mlango wa bafu”
“Hakuna watu hapo uwani?”
“Sasa wewe unaogopa watu”
“Ahaa sipendi uchoro mimi”
“Wewe nenda hakuna watu”
K2 akashuka kitandani akajifunga taulo, kunzia kifuani, ambalo liliishia kwenye nusu ya mapaja yake hii ni kutokana na urefu wake.
“Sabuni ipo wapi?”
“Hiyo hapo juu”
K2 akachukua sabuni na kutoka, nikajilaza kitandani huku feni nikilitega sehemu moja na lisizunguke zunguke. Nikajilaza kitandani kifudifudi, kidogo upepo huo wa feni ukawa unanipa hauweni ya maumivu ya kidonda cha mgongoni kupungua. Baada ya dakika kama tano, K2 akarudi chumbani huku akiwa amemaliza kuoga.
“Aiseee kumbe kidonda chako kikubwa hivi”
“Ndio”
“Ulifanyaje?”
“Jana kuna nyumba ilikuwa inaungua hapo mbele, sasa kuna mtu alibaki ndani, nikaenda kumuokoa”
Aisee pole sana, sasa alifufa?”
“Hapana alisalimika na wala hajaungua sehemu yoyote”
“Kwa staili hiyo, basi itabidi upumzike hadi kidonda kitakapo kuwa sawa”
“Sawa, ila nitaomba niende nyumbani Tanga nikasalimie”
“Na kidonda hicho, bado kibichi unataka kusafiri tena?”
“Nitavaa mashati makubwa”
“So nikupe dereva akupeleke?”
“Hapana”
“No Dany kwa hali kama hiyo huwezi kusafiri kwenye basi, kesho Hassani atakuja kukuchukua alfajiri na mapema muanze safari sawa”
“Sawa”
“Ngoja niende kazini, jioni nitakuletea pesa ya kwenda kusalimia nyumbani”
“Sawa”
K2 akaanza kuvaa nguo zake, akatoa vipodozi kwenye pochi yake na kuanza kujipara akitumia kioo cha dreasing table yangu iliyomo humu ndani kwangu. Alipo maliza, akanifwata kitandani, akanifunika shuka kuanzia miguuni hadi kwenye kiuno.
“So Dany umenisamehe”
“Ndio ila siku nyingine usirudie ujinga ulio ufanya, hata kama wewe ni bosi wangu”
“Sinto fanya hivyo Dany wangu, nakuapia haki ya Mungu, sinto rudia huo ujinga”
“Sawa”
K2 akanisogelea na kunibusu mdomoni, na shavuni. Akafungua pochi yake na kutoa noti nyingi za elfu kumi kumi na kunikabidhi.
“Laki mbili hiyo, fanya basi utafute chakula cha mchana”
“Sawa, asante”
“Jioni nikitoka ofisini nitakuletea chakula”
“Sawa baby”
“Waaoo Dany umeniita baby leo, asante sana”
“Usijali”
K2 akatoa simu yake, akampigia dereva wa taksi aliye mleta, baada ya dakika tano, simu yake ikaita.
“Amesha fika, naona ananipigia, so fanya ule mme wangu”
“Sawa mamy”
K2 akanipiga busu tena, akabeba pochi yake, na kutoka chumbani kwangu huku akipokea simu ya dereva taksi huyo aliye mleta. Nikazihesabu pesa hizo kweli nikakuta ni laki mbili. Nikaziweka pembeni ya mto nilio lalia. Hata kabla sijafanya chochote nikasikia hodi mlangoni kwangu.
“Nani?”
“Mariam”
“Ingia”
Akaingia Mariam akiwa mnyonge, kwa ishara ya mkono nikamuomba akae kwenye sofa. Mariam akanitazama mgongoni mwangu, kisha akanitazama usoni.
“Dany naomba unisamehe”
“Kwani umefanya kosa”
“Ndio, niliingia ndani kwako pasipo idhini yako”
“Usijali nimekusamehe, niambie kilicho kuleta”
“Nilikuja kukupa pole kwa kuungua, nilisikia jana ila sikuweza kukuona, sasa leo nilipo sikia kelele chumbani kwangu ikanibidi nije kukusalimia”
“Ok, usijali naendelea vizuri, so umekula?”
“Ndio nimekunywa chai”
“Chuku hii pesa kalete chipsi kuku mbili, yako na yangu”
Nikatoa elfu thelathini na kumkabidhi Mariam aliye nyanyuka na kuja kuzichukua kitandani nilipo jilaza.
“Sikia kuku wangu wamkaushe, na chipis yangu uikaushe”
“Sawa”
“Chuku na hii elfu kumi niletee miskaki”
“Mingapi?”
“Kwani mskaki mmoja ni shilingi ngapi?”
“Ni miatano”
“Lete ya pesa yote. Hivi mama yupo?”
“Hapana, amekwenda Mbagala kufwatilia watu alio wakopesha vitenge vyake”
“Atarudi saa ngapi?”
“Nahisi usiku”
“Ok leo hujaenda chuo?”
“Leo sina mtihani”
“Sawa kalete hivyo vitu. Hembu fungua friji uangalie ni kinywaji gani kimepungua”
Mariam akafanya kama nilivyo muagiza, akafungua friji, akatazama kwa sekunde kadhaa kisha akalifunga.
“Vinywaji havijapungua sana, ila kuna sahani ina ndizi”
“Ahaa okay, basi kalete msosi”
Mariam alitoka, akiwa mnyonge dhairi nikatuambua kuna kitu ambacho kinamsumbua. Nikachukua simu yangu iliyopo mezani na kutazama meseji zilizo ingia, hapakuwa na meseji nyingi zaidi ya meseji za marafiki zangu ofisini wengine wakiniuliza ni wapi nilipo. Sikujibu meseji ya yoyote kutokana na kuchoka.
Baada ya nusu saa Mariam akarudi akiwa ameshika mfuko mkubwa mweusi. Akauweka mezani na kuchukua sahani kwenye sehemu ninapo ziweka. Akaanza kutenga chakula, alipo maliza akaniomba ninyanyuke kitandani. Taratibu nikanyanyuka kitandani kwa bahati mbaya shuka niliko jifunika, likaniponyoka kwa mbele nilipo kuwa nimepashika na kusababisha sehemu yote ya mbele kuonekana. Mariam akapakodelea macho, kisha akatazama pembeni na kujikausha kama hajaona kilicho tokea. Nikajifunga shuka hilo vizuri kiunoni na moja kwa moja nikaelekea kukaa kwneye sofa, naye akakaa pembeni yangu.
“Niletee uma, siwezi kula kwa kiganja”
“Sawa”
Mariam akanyanyuka kwenye sofa na kwenda kunichukulia uma, kisha akarudi nao. Akanikabidhi kisha yeye akanawa mikono kwa maji aliyo kwisha kuyaandaa, akasali na kunikaribisha chakula.
“Hivi wewe na mama yako ni dini gani?”
“Wakristo”
“Ahaa”
Ukimya ukatawala kati yetu huku tukiendelea kula taratibu. Ikanibidi kuwasha redio yangu kubwa,taratibu mziki wa West life unao itwa Fool again, ukaanza kusikika kwenye spika za redio yangu.
“Hivi umempendea nini yule mama?”
Swali la Mariam likanistua hadi uma ukaanguka, sikutegemea kama ataniuliza tena kwenye hali ya upole na unyonge huku akiitazama sahani yake ya chakula.
“Kwa nini umaniuliza hivyo?”
Mariam akausitisha mkono wake alio kuwa anaupeleka mdomoni, huku ukiwa umeshika kipande cha nyama ya kuku, taratibu akakirudisha kwenye sahani, akashusha pumzi na kuunyanyua uso wake na kunitazama.
“Dany, siku mbili tatu hizi tulizo kuwa karibu na kulala kule hotelini chumba kimoja pasipo kufanya kitu chochote, moyoni mwangu nilijihisi mtumwa wa kkitu ambacho siku zote siwezi kukiweka wazi mbele ya mwanaume”
“Kitu gani?”
“Dany, mimi ni mwanamke matendo yangu dhairi yanaweza kukuonyeshea kwamba nina kitu fulani moyoni mwangu”
Mariam alizungumza kwa unyonge ambao sikutarajia hata siku moja kwamba anaweza kuuzungusha, isitoshe na tukio la leo la kunikuta ninafanya mapenzi na K2 ndio kabisa nikakata tamaa hta ya kumpata nikiamini kwamba nimesha mkosa kwenye maisha yangu.
“Ila najiona nimesha chelewa kwako, na wala siwezi kukulaumu kwa hichi ulicho kifanya kwa leo hii ni kutokana na kukusukuma mbali pale ulipo kuwa una nihitaji. Nayakumbuka macho yako uliyo nitazama nayo juzi ulipo nishika mkono, najisikia furaha sana kila nilipo ikumbuka ile siku”
Mariam wakati huu aliuzungumza maneno hayo huku machozi yakimwagika usoni mwake. Nilijihisi vibaya sana moyoni mwangu kumuona Marian analia kwa mwanaume ambaye tayari nipo kwenye mahusiano na mwanamke mwengine tena ameshuhudia miili yetu iliwa mitupu kabisa.
Taratibu nikaupisha mkono wangu mabegani mwa Mariam na kumvutia karibu yangu na kumlaza begani mwangu.

ITAENDELEA..

About the Author

Hello,I am Web Designer and Expert facebooktwitteryoutubeinstagramexternal-link

إرسال تعليق

Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.