Notification texts go here Contact Us Buy Now!

NDOA SI KAMA MCHEZO WA BET

siku hz vijana wengi wanafikiria ndoa ni kama mchezo wa bet wanajua ndoa ni kula na kunywa maukumbini watu wawatizame walivyopendeza lakini hawajui maana ya ndoa nasema na mwanamke uliyepo ndoani na unayeingia ndoani ndoa sio kujiona unajua kuzaa watoto wengi kama panya buku pori ukajiona mwanamke na unayaweza ndoa ni heshima ujue kuheshimu wazazi wako na wamume ndoa ujue kujistiri ndoa ujue kumtunza mume ndoa ni tabia njema ndoa ni usafi katika nyumba mwanamke uwe msafi hata unapolala na mumeo kuwe na usafi sio mnaishi ndani ya nyumba  chumba kinanuka utafikiri dampo la mabibo hujui hata kupika uji unajiita mwanamke kufua hujui unahofia kucha kubanduka wanawake wengi siku hz wanathamini sura zao na mikono yao kukaa juani kumpikia mumewe hawezi anahofia kufutika kwa make up na jasho la juani ukitaka kuwa mwanamke jiheshimu sio kutembea nusu uchi mume anahitaji malezi syo mambo ya kitoto ukilitia kufuri lango la seble wenzio wanarukia huwani na siku zote ukitaka kuheshimika katika ndoa jiheshimu na kujitambua




About the Author

Hello,I am Web Designer and Expert facebooktwitteryoutubeinstagramexternal-link

إرسال تعليق

Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.