Notification texts go here Contact Us Buy Now!

MOYO ULIOJAA MAUMIVU SEHEMU YA 30

MOYO ULIOJAA MAUMIVU

SEHEMU YA 30

Ilikuwa ni usiku mwingi, mke wake alipokelewa na kuingizwa ndani ya chumba kimoja kilichoandikwa ‘Labour’ mlangoni. Aliambiwa asubiri nje, hakuwa na jinsi, alisubiri huku akiwa na marafiki zake wawili.

Hakukaa kwenye benchi, kila alipoyaangalia aliona kama yana misumali, alisimama huku akitembea huku na kule, alikuwa akimuomba Mungu, amuongoze mke wake na ajifungue salama kabisa.

Alikaa hapo kwa zaidi ya saa mbili, mlango haukufunguliwa, alishikwa na hofu, alionekana kuwa na woga kupita kawaida. Alihitaji kujua kilichokuwa kikiendelea, alionekana kuhisi jambo, akawaangalia wenzake na kuwauliza kuhusu kilichokuwa kikiendelea.

“Usiwe na hofu! Violeth atajifungua salama,” alisema rafiki yake mmoja.

Kwa kumwangalia tu waligundua kwamba mwanaume huyo alikuwa akiogopa mno, kitu kilichokuja kichwani mwake ni kwamba mke wake alipata tatizo na ndiyo maana mlango ulichukua muda mrefu mpaka kufunguliwa.

About the Author

Hello,I am Web Designer and Expert facebooktwitteryoutubeinstagramexternal-link

Chapisha Maoni

Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.