HAKUNA KITU INAUMIZAGA AKILI NA MOYO
KAMA:
umepanda kwenye daladala unash. 2000 tu huna
hata mia ya kula, na nauli ni sh.1000, sasa
anapanda mdada ambaye ushawahi kusomaga
nae anakaa pemben yako mnakumbushiana story
za zaman, konda anakuja kudai nauli unampa ile
2000 alafu alivokuwa hana adabu anakuuliza kwa
nguvu NIKATE WAWILI?
Daah! Yani unajikuta kabaridi kanakupuliza kwa
mbaliii , YANI UNAJIKUTA UNAMTUKANA
KONDA KIMOYOMOYO™™™™™™™™™™™™™™™™™™™™