DUH! WANAUME SISI NI NOMA
Mwanaume alipokea simu akasikia sauti ya Mwanamke ...
Hello Sir, naomba tukutane nataka niongee na wewe.......
Mwanaume : Unanifahamu mimi??
Mwanamke : Ndio,wewe ni miongoni mwa WA BABA wa WATOTO wangu!!!
Mwanaume akapata mshangao ,oooh my Dear !!!!
Mwanaume : Wewe ni Farida
Mwanamke :Hapana
Mwanaume : Wewe Ni Jenipha
Mwanamke :Hapana
Mwanaume : Wewe Ni Rehema
Mwanamke :Hapana
Mwanaume : Wewe Ni Fatuma
Mwanamke :Hapana
Mwanaume : Wewe Ni Stela
Mwanamke :Hapana
Mwanaume : Wewe Ni Grace
Mwanamke :Hapana
Mwanaume : Wewe Ni Khadija
Mwanamke :Hapana
Mwanaume : Wewe Ni Upendo
Mwanamke :Hapana
Mwanaume : Wewe Ni Mariam
Mwanamke :Hapana
Mwanaume : Wewe Ni Atuganile
Mwanamke :Hapana
Mwanaume : Wewe Ni Jacline
Mwanamke :Hapana
Mwanaume : Wewe Ni Aisha
Mwanamke :Hapana
Mwanaume : Wewe Ni Juliana
Mwanamke :Hapana
Mwanaume : Wewe Ni Agnes
Mwanamke :Hapana
Mwanaume : Wewe Ni Bether
Mwanamke :Hapana
Mwanaume : Wewe Ni Gloria
Mwanamke :Hapana
Mwanaume : Wewe Ni Irine
Mwanamke :Hapana
Mwanaume : Wewe Ni Aneth
Mwanamke :Hapana
Mwanaume : Wewe Ni Hellen
Mwanamke :Hapana
Mwanaume : Wewe Ni Mwanaidi
Mwanamke :Hapana
Mwanamke :: Ujue Wewe Baba umenishangaza Sana saana
Mwanaume :, Kwa nini tena??
Mwanamke :: Mimi ni MWALIMU wa Darasa wa mtoto wako....nilitaka tukutane Hapa shuleni tuzungumze Maendeleo ya mtoto wako...... Ila kwa siku ya leo umenishangaza Sana....... Ina maana Wanawake wote Hao umetembea nao!!!!!!!!!!!
Mwanaume :: Hivi Wewe mwalimu madaftari yako uliyoandikia darasa la kwanza, la pili, la tatu na madaftari yako ya form one mpaka sasa unayo????
Mwalimu :: Hmmm kweli nyie
WANAUME MNATAKIWA MFANYIWE MAOMBI