Notification texts go here Contact Us Buy Now!

SABABU KUU 3 ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Kosa kubwa ambalo hufanywa na baadhi ya watu waliofanya punyeto, ni wale waliofanya punyeto siku zanyuma kisha wakaacha wakijua wamepona bila kutumia tiba, madhara yapunyeto huweza kuonekana muda huo huo na huonekana zaidi kadri muda unavyozidi kwenda, endapo tiba sahihi isipopatikana.
*SABABU KUU 3 ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME*

*1.PUNYETO*

Punyeto(masterbatio) ni kujisisimua kiungo cha tendo la ndoa kwa mkono (au kwa njia nyingine) kwaajili yakuto manii ili kujiridhisha kimapenzi.
kwa watu wengi hasa vijana hivi leo kuishiwa nguvu za kiume ni matokeo ya punyeto. Picha za ngono majarida na magazeti ya uchi huongeza hushawishi wa matamanio kwa vijana na hivyo kushawishi punyeto.
punyeto inamadhara menge mnoo. Mtu yeyote anayepiga punyeto mwili huwa dhaifu mapigo yamoyo huongezeka na kumbu kumbu zake huwa dhaifu sana. punyeto inamadhara mengi mnooo:-
●Hupunguza kiwango chahisia yauume kusisimka na hupunguza kiwango cha shahawa na ubora wa shahawa hivyo basi punyeto inaweza kusababiaha ugumba kwa mwanaume
●mfumo wa neva huathirika zaidi, na hii nikutokana na kuathirika kwa uhusiano kati ya ubongo na mfumo wa neva.
●Mfumo wausagaji chakula, Mfumo wamkojo na mifumo mingine huathiriwa, namatokeo yake mwili huwa nyumba ya maradhi kutokana na udhaifu mkubwa.
●Macho huzama ndani, mifupa ya shavu kuchomoza, nakuona mzingo mweusi katika macho.
●kichwa na mgongo huuma kwa kudumu
●kuona maluwe luwe
●Kushindwa kufanya kazi ngumu ya kutumia nguvu na ya kutumia akili nyingi
●Hupata matatizo yakisaikolojia: huwa msahaulifu sana, huwa nawasi wasi, huwa naaibu nyingi mwoga na mnyonge. hisia zotee huzoofika
●Ukubwa wa uume hupungua sana nahii inasababishwa nakuibana misuli ya uume, na kuathiri uzalishwaji wa kemikali ya NITRIC OXIDE
●Kupungukiwa kwa nguvu zakiume hasa KUWAHI KUFIKA KILELENI NA ULEGEVU WA UUME ni matokeo makuu ya mpiga punyeto
● Mfuko wakorodani huathirika na kuregea sana, mishipa inayopeleka damu kwenda kwenye uume huonekana wazi wazi.

ANGALIZO: Kosa kubwa ambalo hufanywa na baadhi ya watu waliofanya punyeto, ni wale waliofanya punyeto siku zanyuma kisha wakaacha wakijua wamepona bila kutumia tiba, madhara yapunyeto huweza kuonekana muda huo huo na huonekana zaidi kadri muda unavyozidi kwenda, endapo tiba sahihi isipopatikana.

Ikiwa wewe ni muatharika wa punyeto kabla hujafikiria kupata tiba hakikisha kwanza umeacha kabisa mchezo huu, vinginevyo ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa

*2.UTAZAMAJI WA PICHA ZA NGONO*

Hili pia limekuwa ni moja kati ya sababu kubwa kupelekea tatizo la upungufu wa nguvu za kiume kwa vijana na hata watu wazima. Utazamaji wa picha za ngono hauna tofauti sana na upigaji wa punyeto, ongezeko la upatikanaji wa simu, tablet, na vitu vyenye kusupport acces ya internet vimeongeza kiwango cha utazamaji wa video hizo na hivyo kuongeza athari kwa vijana kuwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.
Utazamaji wa video za ngono hupunguza msisimko wa mwili, uwezo wa kukumbuka na kufikiri huathirika kutokana na kuathirika kwa ubongo, huifanya misuli ya uume kuregea, hupunguza uwezo wa mwanaume kusimanisha uume ili kuendelea na tendo la pili baada ya mumiza la kwanza, huongeza tamaa ya kupiga punyeto.

*3.DAWA ZA KEMIKALI ZA KUONGEZA NGUVU ZAKIUME*

(mfano Viagra, Vega, Eractor Tadalif(Cialis), Vardenafil(Levitra)

Wanaume wengi siku hizi hutumia dawa hizo katika kitibu tatizo la nguvu za kiume
Niukweli usiopingika dawa hizo hufanya kazi kwa haraka sana kusukuma damu kwenda kwenye uume, lakini dawa hizi hazileti hamu ya mapenzi wala msisimko wa mwili
Ni muhimu watu wafaham dawa hizo HAZITIBU chanzo cha tatizo. Daw hizi pia zinamadhara mengi kwabinadamu ikiwemo kuumwa kichwa, Mapigo yamoyo yasio yakawaida, hupelekeke kushitua moyo na kuufanya kutanuka na hii ni kutokana na msukumo wa damu wa ghafla unaofanywa na dawa izo, kutoona vizuri, maumivu yakifua. Tafiti iliofanywa nachuo kikuu cha Minnesota nchini Marekani ilisema kwamba watu kadhaa wamepata upofu kutokana namatumizi ya viagra.
Madawa hayo huweza kuongeza matatizo mengi zaidi ya nguvu zakiume, pia humfanya mtu kuwa mlevi (mtumwa) wa dawa hizo
Dawa ipo yenye uwezo wakumrudisha muathirika wa dawa hizo kwenye hali yako yakawaida, wewe uliothirika na dawa hizo wasiliana namimi

Maoni 2

  1. *MADHARA YA KUJICHUA KWA WANAWAKE NA WANAUME*

    Punyeto ni nini

    Punyeto ni kitendo cha kufanya au kupiga punyeto, ni tendo la kutomasa sehemu zako mwenyewe za siri ili kujisisimua kimapenzi.

    Haya ni baadhi ya madhara awezayopata mwanamke anayejichua au kufanya punyeto;

    1. Inaharibu kizazi

    2. Inakufanya kua mvivu mara kwa mara

    3. Unakuwa unakosa hamu ya tendo

    4. Maumivu ukeni yasiyo na sababu

    5. Uke kuwa mlegevu yaani mtepeto

    6. Hupelekea uke kutoa maji maji mara kwa mara au maji yale ambayo utoka kabla ya tendo kuto kuwepo ivyo itakufanya kupata michubuko na maumivu makali wakati wa tendo.


    1. 7. Uwezi kuja kujua raha ya tendo ukizoea punyeto sana wewe dada.

      8. Punyeto inafanya uke wa mwanamke kukosa ladha kabisa hiyo itapelea kukimbiwa na mmeo au mwenzako kutafuta kamchepuko kenye uke mtamu.

      9. Na ukizoea punyeto itakufanya kuwa mtu wa hasira hasira kila mara

      10. Punyeto ni hatari kwa afya yako pia ukiizoea sana itapekekea kufanya mapenzi ya jinsia moja.

      *Hay ni baadhi ya madhara ya kupiga punyeto kwa wanaume*

      1. Punyeto hukufanya uwe dhaifu, inapoteza protini na kalsiamu ndani ya mwili wako.

      2. Huleta matatizo kwenye neva nyurolojia ndani ya mwili.

      3. Ni moja ya kisababishi kikuu cha uhanithi (uume kushindwa kusimama)

      4. Ni rahisi kuwa mtumwa wa kujichua (teja) unaweza kujaribu mara 1 tu na tayari ukawa teja wa jambo hilo kila mara

      5. Huleta uchomvu sugu na kwa haraka zaidi, mara nyingi utahitaji kulala usingizi hata nyakati za mchana

      6. Husababisha mfadhaiko (stress) kwenye akili na kwenye roho yako pia

      7. Huleta matatizo ya kisaikolojia, hukusababishia majonzi na huzuni na kukuf…
Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.