Notification texts go here Contact Us Buy Now!
Machapisho

Nyoka aliyeingia kwenye karakana

Estimated read time: 1 min

Nyoka mmoja aliingia kwenye karakana ya seremala. Kulikuwa na msumeno umeanguka chini. Kwa bahati mbaya ulimgusa nyoka, akaumia kidogo. Kwa hasira, nyoka aliung'ata ule msumeno.
Alipoung'ata ule msumeno, aliumia tena (kwa kuwa ni wa chuma). Alipoona anazidi kuumia, akaouna ule msumeno ni adui m'baya sana. Ikabidi atumie nguvu zaidi kuung'ata. Akaamua kujizungusha kwa nguvu kwenye msumeno ule ili aubane na kuunyongelea mbali kabisa.
Masikini... Nyoka yule aliishia kujiua mwenyewe kwa hasira zake juu ya msumeno.

FUNZO:
Katika maisha, mara nyingine tunafanya maamuzi kwa hasira sana kwa lengo la kumuumiza yule aliyetukosea, bila kujua tunajiumiza wenyewe. Tujifunze kusamehe na kudharau baadhi ya watu, matukio, na vitu vilivyotukwaza iwapo kufanya hivyo hakutatuumiza zaidi.

About the Author

Hello,I am Web Designer and Expert facebooktwitteryoutubeinstagramexternal-link

Chapisha Maoni

Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.