Vyakula ni katika Jambo zuri mnoo
Lkn vyakula huweza kuleta mattz kutokana na Matabaka ya mtu na mtu
Mfano sahihi ni Kwa wajawazto vipo vyakula hatushaur kuvpendelea Sana
1: Nyama mbichi
Mjamzto anapokula nyama ambayo haikuiva vzur ni hatar sana
Kwan huweza kumletea fangasi Hatar Kwa mtoto
Hvyo Hakikisha nyama inaivaaa vzuri
2: Samaki wenye Zebaki
Samaki jamii hii ni km Papa na dagaa wakubwa
Jamii hii huwa na madini mengi ya zebaki hvyo kuzaliwa mtoto tahra
3:Pombe
Unywaji wa pombe kipnd cha ujauzto hata km ni kdgoo ni hatar Sana kwani husababsha kuzaliwa mtoto mwnye maradh ya ajabu yatokanayo na pombe
4:Maziwa mabichi
Ukitaka kunywa maziwa hakikisha unayachemsha vzuri
Kwani yakiwa mabchi hutengeneza bacteria hatar na huweza kuharibu Mimba
5: MAINI
Maini yanamadini mengi mno ya chuma
lkn pia vitamin A za kutosha ambazo huweza kuleta madhara Kwa mtoto kikizd
Ujauzto ni Jambo kubwa mno
tuliheshmu Jambo hili✅✅
..........