Notification texts go here Contact Us Buy Now!

NGUMU KUMEZA;(18+) Sehemu ya 05- Muandishi: Jclassic boy (Next level Author)

ILIPOISHIA “Ahaaa wewe si umesema unataka kwenda kulala hoteli nzuri vipi tena na huku?” “Hei dereva tupeleke KC Hoteli” “Sawa kiongozi” “Dany mimi nakwenda nyumbani, nataka nikalale mapema kesho nina mtihani asubuhi chuoni” “Unataka kulala mapema gani, wakati saa hizi inakwenda saa saba. Dereva endesha bajaji” “Dany kumbe ukilewa upo hivi” “Nipoje” “Mmmm haya, ukifika hotelini dereva ananirudisha nyumbani” Bajaji ikafika katika hoteli niliyo hitaji kufika. Nikamlipa kiasi anacho kihitaji. Nikashuka na Mariam naye akashuka. “Unakwenda wapi?” “Sirudi mwenyewe nyumbani” “Rudi wewe, mama yako atakuchapa” “Ahaa nimekuwa mtu mzima nirudi nisirudi hilo halimuusu” Sikuwa na cha kuzungumza huku moyoni mwagu nikiwa na furaha sana kwa maana naona Mariam anaingia kwenye kumi na nane zangu. Nikalipia chumba kimoja wala Mariam hakuzungumza chochote zaidi ya kukaa kimya akaanza kunifwata kwa nyuma, tukapandisha hadi gorofa ya pili kisha tukaingia katika chumba ambacho nimelipia. Kitendo cha kufunga mlango kwa funguo, nikamuwahi Mariam kwa nyuma na kumshika kiuno, kwa haraka Mariam akakurupuka mikononi mwangu na kunigeukia. Akanitandika kofi moja zito la shavu huku akiachia msunyo mkali na mzito. “Mimi sio malaya wa kujirahisisha kwa mwanaume, na sijakuja hapa unitom**, lala zako kitandani mimi nitalala hapa kwenye kochi” Mariam alizungumza huku akiwa amekunja sura, akapiga hatua hadi lilipo sofa akajirusha na kukaa, huku akinikazia macho makali. ENDELEA

NGUMU KUMEZA SEHEMU YA 05

ILIPOISHIA
“Ahaaa wewe si umesema unataka kwenda kulala
hoteli nzuri vipi tena na huku?”
 “Hei dereva tupeleke KC Hoteli”
“Sawa kiongozi”
 “Dany mimi nakwenda nyumbani, nataka nikalale
 mapema kesho nina mtihani asubuhi chuoni”
 “Unataka kulala mapema gani, wakati saa hizi
inakwenda saa saba. Dereva endesha bajaji”
 “Dany kumbe ukilewa upo hivi”
 “Nipoje”
“Mmmm haya, ukifika hotelini dereva ananirudisha
nyumbani”
 Bajaji ikafika katika hoteli niliyo hitaji kufika.
 Nikamlipa kiasi anacho kihitaji. Nikashuka na
 Mariam naye akashuka.
“Unakwenda wapi?”
“Sirudi mwenyewe nyumbani”
 “Rudi wewe, mama yako atakuchapa”
“Ahaa nimekuwa mtu mzima nirudi nisirudi hilo
halimuusu”
 Sikuwa na cha kuzungumza huku moyoni mwagu
 nikiwa na furaha sana kwa maana naona Mariam
 anaingia kwenye kumi na nane zangu.

Nikalipia
 chumba kimoja wala Mariam hakuzungumza
 chochote zaidi ya kukaa kimya akaanza kunifwata
kwa nyuma, tukapandisha hadi gorofa ya pili kisha
 tukaingia katika chumba ambacho nimelipia.
 Kitendo cha kufunga mlango kwa funguo,
nikamuwahi Mariam kwa nyuma na kumshika kiuno,
kwa haraka Mariam akakurupuka mikononi
 mwangu na kunigeukia. Akanitandika kofi moja zito
 la shavu huku akiachia msunyo mkali na mzito.
“Mimi sio malaya wa kujirahisisha kwa mwanaume,
na sijakuja hapa unitom**, lala zako kitandani
 mimi nitalala hapa kwenye kochi”
 Mariam alizungumza huku akiwa amekunja sura,
akapiga hatua hadi lilipo sofa akajirusha na kukaa, huku akinikazia macho makali.


ENDELEA
Sikuamini kwamba Mariam anaweza kuwa mkali
 sana kwenye hili. Kwa mtazamo wa haraka haraka
 ukimtazama unaweza kusema kwamba ni
msichana anaye jirahisisha sana katika kulitoa
penzi lake. Moja kwa moja nikajitupa kitandani
huku nikijisikia aibu sana kwa kitu ambacho
nimekifanya kwa Mariam kwa maana sikuhitaji
 kuweza kukifanya kwa haraka.
 Kwa msongamano wa mawazo mengi nikajikuta
nikipitiwa na usingizi.

Simu iliyopo mfukoni
 mwangu ikanistua kwa mlio wake nilio uweka
katika mfumo wa mtetemesho(vibration). Taratibu
 nikaitoa mfukoni na kuitazama nikiwa na mawenge
ya usingizi sana na kukuta anaye piga simu ni K2.
 “Haloo” “Umeamkaje?” “Salama tu” Nilizungumza huku
 nikijinyanyua kitandani, moja kwa moja nikayatupia
macho yangu kwenye sofa na kukuta Mariam
 akiwa hayupo. Kwa haraka nikanyanyuka kwenye
kitanda huku simu yangu ikiwa kwenye sikio.
“Vipi umesha jiandaa kwenda kazini?” “Ahaa ndio”
 “Sawa, mimi ndio natoka, yaani hapa nina hamu
na wewe, natamani nije hata kwako unipatie japo
 goli moja kisha twende kazini” “Usijali lunch
 tutaonana” Nilizungumza huku nikiwa nimefungua
mlango wa bafuni na kumkuta pia Mariam hayupo.
Nikatazama saa ya ukutani na kukuta ni saa kumi
na mbili na nusu.

“Ok basi ngoja mimi nitangulie”
 “Sawa”
 Nikakata simu na kuirudisha mfukoni. Nikatoka
chumbani na moja kwa moja nikaelekea katika
barabara, nikamuita bodaboda wa pikipiki na
kumuomba aniwahishe nyumbani kwa haraka.
Akafanya hivyo, hadi ninafika nyumbani ni saa
moja kasoro. Nikampa dereva pikipiki pesa yake.
Kitendo cha kufika getini nikakutana na Mariam
 uso kwa uso akifungua geti akiwa amevalia tisheti
 ya chuo hicho cha ualimu huku akiwa ameshika
mkobwa wake mdogo.
Mariam akanitazama kwa jicho kali huku
 akisimama, akanipita na kuondoka zake, akapanda
 pikipiki niliyo kuja nayo. Nikaingia ndani na
kukutana na mama Mariam kwenye korido akitoka
 kuoga.

“Mambo Dany” “Poa shikamooo mama”
“Marahaba” Kutokana nimechelewa sana kazini,
sikutaka hadithi na mama Mariam. Moja kwa moja
 nikaelekea chumbani kwangu nikafungua.
Nikachukua taulo na kuelekea moja kwa moja
 bafuni. Haraka haraka nikaoga na kurudi chumbani
 kwangu na kumkuta mama Mariam akiwa amekaa
kwenye sofa la chumbani kwangu huku akiwa
amevalia kanga moja iliyo lowana lowana maji na
 kuufanya mwili wake kushikana na kanga hiyo.

“Nimekuletea taulo lako” “Asante naomba utoke
 nahitaji kwenda kazini sasa hivi” “Mmm Dany, ndio
 haraka haraka hivyo hata sijakufaidi vizuri” “Mama
Mariam tafadhali ninakuomba utoke ninawahi kazini
 bwana” Mama Mariam akasimama na kunisogelea
sehemu nilipo simama, huku akiifungua khanga
yake na kuiangusha chini.
 “Dany jogoo wako kila ninapo mfikiria mwili
 mzima huwa unianisisimka, tafahdali nipatie japo
kimoja. Jana usiku mwenzako sijalala nimekesha
kwa kujitia vidole, tafadhali mpenzi” Mama Mariam
alizungumza huku machozi yakimlenga lenga.

Akanisogelea na mkono mmoja akaupitisha kiunoni
 mwangu na kunishika kiuno.
“Hivi ni kweli Dany utaniacha na nyege zote hizi,
hembu tazama hadi huku chini kumesha anza kuvuja” Mama Mariam alizungumza kwa vitendo
huku akinionyesha manii jinsi zinavyo teremka
 taratibu kwenye mapaja yake.
Jogoo wangu taratibu akaanza kunyanyuka
nyanyuka taratibu. Mama Mariam akagundua hilo na kuuleta mkono wake mwengine kwenye taulo na
 kulisogeza taratibu na kumshika jogoo wangu.

“Mama Mari…..” “Noooo”
 Tayari Mama Mariam alisha nisikumia kwenye
kitanda. Akamuingiza jogoo wangu mdomoni
mwake na kuanza kumnyonya kwa pupa, jinsi
 mama Mariam anavyo zidi kumnyonya jogoo
wangu ndivyo jinsi nilivyo zidi kupagawa kwa raha.
“Aisiiiiiii………” Mama Mariam alizungumza huku
 akimkalia jogoo wangu. Sikuamini kumuona jogoo
 wangu akizama wote kwenye kitumbua cha mama
Mariam ambaye jana yake alihisi kufa kufa nilipo
mzamishia. Kwa unene wa mapaja na makalio ya
mama Mariam, jinsi alivyo kuwa akipanda juu na
kushuka chini, ukaanza kusikika mlio wa PWAAAA
 PWAAA PWAAA.
 Mama Mariam akawa kama amenipania, kwa maana
ana muhimili jogoo wangu kwa kila namna anavyo
mpeleka ndivyo nilivyo zidi kuchanganyikiwa na
 mauno yake, hadi jasho likawa linamtiririka.

“Dany nakuja, nakuja, nakujaaa………” Mama Mariam alizungumza huku akiongeza kasi ya kukama
kiuno, ikafikia kipindi akanilalia kifuani huku
 akiendelea kukipeleka kasi kiuno chake, na kuanza
kuwafanya waarabu weupe kuanza kujiandaa
kutoka.
 “Dany nakojoo, nakojooa mama yangu weeeeee” Mama Mariam mwili wake mzima akakakamaa,
 hadi kwenye kitumbua chake na kumfanya jogoo
 wangu apate joto maradufu. Pasipo kutegemea
nikajikuta waarabu wangu wote wakiishilia
ndani ya kitumbua cha mama Mariam.

“Mamamaeee, wee mtoto, mb** yako umeipaka
nini?” Mama Mariam alizungumza huku
akijinyanyua kifuani mwangu, jogoo wangu akawa
bado hajatoka kwenye kitumbua chake,
akajitingisha tingisha huku akiwa ameing’ata
midomo yake kwa hisia kali sana.
“Kwa nini?” “Ahaaa sijapata ona, mb** tamu kama
ya kwako”
“Hakuna kitu” “Mmmmmm…….” Mama Mariam aliguna huku akimchomoa jogoo wangu taratibu
na kusimama. Nikanyanyuka kitandani na kuliokota
taulo langu chini. Nikajifunga kiunoni kwa haraka
haraka, nikaitazama saa yangu ya ukutani na
kukuta ni saa moja na nusu asubuhi.
“Shiiiiit, nimechelewa kazini” Nikatoka chumbani
kwangu kwa haraka na kueleka bafuni kwa
 mara nyingine. Nikaoga na kurudi chumbani
kwangu na kumkuta mama Mariam akiwa
amelielekezea feni kwake limpepee jasho
 limwagike.

Nikafungua kabatini na kutoa suruali
 nyeusi, shati nyeupe la mikono mirefu pamoja na
 koti jeusi.
“Unavaa suti leo?” “Ndio” Nilizungumza huku
nikijifuta maji mwilini mwangu. Nikavaa boksa,
 kisha suruali, nikafwata shati pamoja na koti lake.
 “Ufungi tai” Mama Mariam akasimama na
 kulisogelea kabati langu. Akatazama tai nilizo
zining’iniza. Akachukua tai moja yeusi na kuanza
kunifunga shingoni.
 “Daaa tukio hili linanikumbusha mbali sana”
“Wapi huko?”
“Kipindi marehemu baba Mariam akiwa anaamka
 kwenda kazini, mara nyingi nilikuwa ninapenda
 kumfunga tai yake” “Ahaaa, sawa” Mama Mariam
 akaniletea viatu vyeusi nilivyo viweka nyuma ya
 mlango, kwenye sehemu maalumu ya kuviweka.
 Akanivalisha soksi pamoja na viatu akaniweka
 vizuri tai yangu pamoja na koti.

“Hapa sasa umependeza mpenzi wangu” “Asante”
 “Ila Dany wewe ni mzuri, hiyo
 sura yako aiseee”
 “Acha hizo” “Kweli Dany yaani una macho ya kike,
kitu kilicho kuokoa ni umbo lako, la mazoezi la
sivyo ukijifunga kanga kichwani watu
wanakutongoza” Mama Mariam alizungumza katika
hali ya kutabasamu. Kitu kilicho niumiza kichwa ni
jinsi gani ninaweza kuitoa bastola yangu niliyo
 iweka chini ya kitanda kwa maana sipendi mtu
yoyote kuweza kuifahamu kazi yangu na endapo
 mama Mariam ataiona silaha hiyo ni lazima
atakuwa na maswali mengi mengi yatakayo nikera na kunipa wakati mgumu sana.

“Ok naomba uchukue kanga ujifunge nahitaji
kutoka sasa mama” “Ila Dany, unaonaje ukaniachia
funguo yako nikakufanyia usafi kwa maana huwezi
 kutoka na kukiacha kitanda kama hivi” “Ahaa bado
 mapema sana, huko mbele mbeleni nitakuwa nina
 kuachia ufunguo”
 “Ina maana huniamini si ndio?”
 “Sio kwamba sikuamini, ila bado mama”
“Sawa” Mama Mariam akaokota kanga yake na
kujifunga vizuri, akapiga hatua hadi mlangoni
akasogeza pazia taratibu kuchungulia nje, alipo
ona hakuna mtu akarudi akanibusu mdomoni kisha
 akachungulia tena na kuondoka kwa mwendo wa
 haraka.

Niakarudi kitandani na kunyanyua godoro langu,
nikaichukua bastola yangu. Nikaichomeka kwa
 nyuma kiunoni. Nikatoa waleti na simu kwenye
 suruali niliyo ivua na kuviingiza kwenye mfuko
wangu wa suruali niliyo ivaa.
Nikafunga chumba changu na kutoka nje, kwa
bahati nzuri nikapata dereva wa pikipiki. Moja kwa
 moja nikaelekea ofisini huku kwa mara kadhaa
 nikimuimiza dereva huyo kuongeza mwendo wa
pikipiki ili tuwahi kufika.
Hadi ninafika ofisini ikawa imesha timu saa mbili
 na dakika kumi, na muda wa wafanyakazi wa
mwisho kuwasili ofisini ni saa moja na nusu
 asubuhi. Nikashuka kwenye pikipiki na kumlipa
 dereva, nikakimbilia ndani ya jengo letu la ofisi.
Nikasimama sehemu ya lifti inayo onyesha
inashuka chini ikitokea kwenye gorofa za juu.

“Mambo Dany”
 Sauti ya binti mmoja ambaye ni mgeni katika ofisi
 yetu alinisalimia huku akisimama pembeni yangu,
 sote tukisubiria lifti hiyo kufika chini tulipo.
“Safi Suzy za kwako” “Poa, naona leo
umechelewa” “Ahaa si unajua mwanzo wa wiki
jinsi ulivyo mgumu” “Kweli, ila umekosa kikao cha
 asubuhi, mkuu amekoroma sana kwa wachelewaji”
 “Ameitisha mkuu nani?” “K2” Kusikia hivyo
 nikashusha pumzi, kwa maana nilidhani ni Mzee
Ndimbo, ambaye siku zote hapendi masihara kwa
 wazembe.
 “Tena ametoa ujumbe ukifika ofisini kwa yoyote
 atakaye kuona ukamuone ofisini kwake”
 “Mmmmm, kazi kweli kweli” Lifti ikafunguka,
 wakatoka wafanyakazi wawili ninao fanya nao kazi
 ofisi moja. Tukasalimiana kisha nikaingia kwenye
 lifti iliyo tupeleka hadi gorofa ya kumi kwenye ofisi
 zetu.

Kama alivyo nieleza Zuzy moja kwa moja
 nikaelekea ofisini kwa bosi wetu K2.
“Mkuu yupo?” Nilimuuliza secretary wa K2, aliye
nikodolea macho baada ya kunitazama.
 “Nini mbona umenikodolea mimacho” “Bosi yaani
 ana hasira na wewe, hivi umeitazama simu yako.
Amekupigia mara kibao” Hapo ndio nikaitoa simu
yangu mfukoni, nikakuta missed call ishirini za K2,
na kwa bahati mbaya simu yangu sijui ilijiminya
vipi ikawa katika mfumo wa silence, kwa maana
hiyo simu zote alizo piga hakuna hata moja niliyo
weza kuisikia. Japo nimeanzisha mahusiano ya
 kimapenzi na K2, ila bado woga wa mfanyakazi kwa bosi wake upo bado moyoni mwangu.

Kijasho nikahisi kikinitiririka usoni, huku tumbo la
 haja kubwa likianza kunikoroma. Hata kabla
sijafanya chochote, mlango wa ofisi ya K2
ukafunguliwa. Akanitazama kwa sura ya ukali hadi
mimi mwenyewe nikaogopa.
 “Njoo ofisini kwangu” Alizungumza na kurudi
ofisini kwake, nikatazamana na secretary wake
 aliye nionyeshea sura ya huzuni kwani sote
tunamfahamu mwanamama huyu, akikasirika huwa
 hana masihara kabisa, na anaweza hata
 akakuchapa vibao mbele za watu bila kujali umri
wako au heshima yako mbele za wafanyakazi
 wengine.
 Nikairudisha simu yangu mfukoni, nikapiga hatua
hadi mlangoni mwa ofisi yake, nikashika kitasa na
kukisukuma taratibu.

Kitendo cha kuingia tu, nikamkuta K2 amesimama
akinisubiria, kofi zito likatua shavuni mwangu
nahisi hadi sekretari wake aliweza kusikia kwa
maana mlango bado haukuwa umefunga vizuri.
 “Hii ofisi ni ya baba yako?”
K2 aliniuliza kwa sauti ya ukali hadi nikahisi mwili
 mzima ukizizima kwa woga. Sikujibu kitu na sura
yangu nikawa nimeiinamisha chini, nikiyasikilizia
maumivu makali ya kibao hicho. Kwa kidole kimoja
akaninyanyua uso wangu na kunitazama huku sura
yake ikiwa bado imejikunja.
“Unahisi kunitom*** kwako ndio kunaweza
kukufanya ukawa mzembe kazini?” “Hapana mkuu”
 Nilijibu huku machozi yakinilenga lenga.
 “Hata nikikupa kum* yangu au mkun** wangu,
bado huwezi kukiuka sheria na misingi ya kazi.
 Unakuja saa mbili?, nakupigia simu hupokei
unajihisi wewe ni kidume si ndio?” k2 alizidi
kufoka, na kunifanya nianze kujiapiza kimoyo moyo
kwamba kamwe sinto rudia kufanya naye
 mapenzi, kwa manaa ubabe anao ufanya kwa
wafanyakazi wengine nilihisi kwangu utapungua,
kumbe ndio umeongezeka mara mbili zaidi ya
hapo mwanzo.

“Potea mbele ya macho yangu na ukawaulize
wenzako ni kitu gani ambacho nimeagiza wao
 kukifanya. Pumbavu wewe” Nikapiga saluti na
kugeuka, nikafika mlangoni na kukishika kitasa cha
 mlango huku dukuduku la kuhitaji kuzungumza
 kitu likiwa linanisumbua moyoni mwangu.
 ‘Potelea pote’
Nilizungumza kimoyo moyo huku nikigeuka na
 kumtazama K2 aliye nigeuzia mgongo wake akielekea
kukaa kwenye kiti chake.
“Sikiliza, kuanzi leo. Nijue kama mfanyakazi wako
na si mwanaume utakaye iona mbo** yangu
ikiingia kwenye kum** yako. Jana ndio ilikuwa
 mwanzo na ndio itakuwa mwisho” K2 akageuka na
kustuka kusikia maneno hayo niliyo yazungumza,
 nikafungua mlango na kutoka kwa hasira, iliyo
yafanya machozi yangu kutiririka hadi secretary akanishangaa. INAENDELEA.
NGUMU KUMEZA;(18+)    Sehemu ya 05-   Muandishi: Jclassic boy (Next level Author)


SIMULIZI HII NI KWA WASOMAJI WENYE UMRI ZAIDI YA MIAKA 18. HAKI ZOTE ZIMEHIFADHIWA. USIKOSE SEHEMU YA 06 YA KISA HICHI CHA KUSISIMUA. INAPATIKANA PIA KWENYE GROUP ZA WHATSAPP NA FACEBOOK.






Chapisha Maoni

Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.