Notification texts go here Contact Us Buy Now!

NGUMU KUMEZA;(18+) Sehemu ya 02 -Muandishi: Jclassic boy (Next level Author)

ILIPOISHIA "Vipi" "Dany uke wangu unawaka motoo" "Moto" "Ndio, najihisi kunaungua" "Tanua miguu nikupulize" Mama Mariam akafanya kama nilivyo muambia, nikainama na kuanza kumpuliza, ila bado akawa ananilalamikia kwamba kuna waka moto. Nikashuka kitandani na kufungua friji langu, nikamimina maji ya baridi kwenye kikombe, nikachukua kitambaa chepesi na kukichovya kwenye kikombe hicho na kuanza kumchua kwenye kitumbua chake. Mama Marim akaanza kutoa mihemo ya amani, huku tabasamu likichanua usoni mwake. "Vipi tuendelee" "Eheee" Mama Mariam alinijibu huku akitingisha kichwa chake, nikapanda tena kitandani, nikamuweka sawa Mama Mariam, huku miguu yake nikiwa nimeiweka kama X, safari hii siku hitaji kumsulubu mwana mama huyu. Hadi jogoo wangu anafika nusu, mama Mariam akanizuia kwa kiganga cha mkono wake wa kushoto . "Dany hapo hapo" Sawa mama" Nikaanza kukitafuna kitumbua cha mama Mariam, aliye anza kulegea kila jinsi nilivyo zidi kukila ndivyo mwenzangu alivyo legea legelege na kutulia tuli. Kitu kilicho nistua na kuogopa na kunifanya nistuke na kushuka kitandani kwa haraka huku nikimtazama mama Mariam kitandani ni kwa jinsi anavyo tokwa na mapovu mdomoni pamoja na damu nyingi puani mwake. ENDELEA..

NGUMU KUMEZA;(18+)   Sehemu ya 02

NGUMU KUMEZA;(18+)   Sehemu ya 02  - www.vbongo.tk

ILIPOISHIA
"Vipi" "Dany uke wangu unawaka motoo" "Moto" "Ndio, najihisi kunaungua" "Tanua miguu nikupulize" Mama Mariam akafanya kama nilivyo muambia,
 nikainama na kuanza kumpuliza, ila bado akawa
ananilalamikia kwamba kuna waka moto. Nikashuka
 kitandani na kufungua friji langu, nikamimina maji
ya baridi kwenye kikombe, nikachukua kitambaa
 chepesi na kukichovya kwenye kikombe hicho na
 kuanza kumchua kwenye kitumbua chake. Mama
Marim akaanza kutoa mihemo ya amani, huku
 tabasamu likichanua usoni mwake.

"Vipi tuendelee"
"Eheee"
Mama Mariam alinijibu huku akitingisha kichwa
chake, nikapanda tena kitandani, nikamuweka sawa
Mama Mariam, huku miguu yake nikiwa nimeiweka
kama X, safari hii siku hitaji kumsulubu mwana
mama huyu. Hadi jogoo wangu anafika nusu,
mama Mariam akanizuia kwa kiganga cha mkono
 wake wa kushoto
. "Dany hapo hapo" Sawa mama"
Nikaanza kukitafuna kitumbua cha mama Mariam,
aliye anza kulegea kila jinsi nilivyo zidi kukila
 ndivyo mwenzangu alivyo legea legelege na kutulia
 tuli. Kitu kilicho nistua na kuogopa na kunifanya
nistuke na kushuka kitandani kwa haraka huku
nikimtazama mama Mariam kitandani ni kwa jinsi
anavyo tokwa na mapovu mdomoni pamoja na damu
 nyingi puani mwake.


ENDELEA..
Wasiwasi mwingi ukazidi kunikamata huku macho
 yangu nikiwa ninamtazama Mama Mariam aliye
lala chali, nikahisi kuchanganyikiwa, sijajua hata
nianzie wapi au nimalizie wapi, kila ninacho kiona
kwa mama Mariam naona mapicha picha tu.
Nikakaa kitandani na kuanza kumtingisha mama
 Mariam huku nikimuita, ila mwenzangu
 hakunyanyuka kabisa.

Nikachukua taulo langu na kumfuta damu pamoja
na mapuvu yanayo mtoka, kwa haraka
nikanyanyuka na kufungua friji yangu na kuchukua
maji ya baridi sana na kumwagia usoni, ila mama
Mariam hakunyanyuka kabisa.
 “Ohooo Mungu wangu, nitafanya nini mimin?”
Niliendelea kuzungumza mwenyewe huku
 nikizunguka zunguka ndani ya chumba changu,
 nikafungua pazia la dirisha langu na kuchungulia
nje, sikuona kitu chochote zaidi ya mvua ambayo inazidi kunyesha nje.

Nikarudi kwenye kochi na
 kujilaza, hata jogoo wangu aliye kuwa amesimama
alisha lala muda mrefu hii ni kutokana na wasiwasi
 mwingi nilio kuwa nao. Kitu ambacho kinanipa matumaini ni kifua cha
mama Mariam kinacho nyanyuka taratibu
kikiashiria kwamba mapigo yake ya moyo yapo
 vizuri na yana dunda vizuri. Kwa woga na
msongamano wa mawazo nilio kuwa nao nikajikuta
usingizi ukinipitia kwenye sofa langu na kulala
fofofo.

Gafla nikastukia nikishikwa kifuani na
kiganja cha baridi nikajikuta nikikurupuka. Macho yangu yakakutana na Mama Mariam akiwa
amevalia dera lake huku akinitazama.
 “Umelala sana leo ehee”
 Mama Mariam alizungumza na kunifanya nikae
kitako na kumtazama usoni mwake, nikayatupia
macho mezani mwangu na kukuta sahani iliyo
funikwa na sahani nyingine juu pamoja na chupa
ya chai.

“Umeamkaje amkaje?”
Nilimuuliza mama Mariam huku nikimtazama usoni,
 akaachia tabasamu pana akionekana kufurahishwa
na swali nililo muuliza.
“Mbona nimeamka tangu muda, nikatoka nje nikakuandalia chai, na ndio nimekuletea”
“Mmmm kwani sasa hivi ni saa ngapi?”
 “Inakwenda saa sita”
“Saa sita?”
 “Ndio mbona unashangaa, kwani una sehemu
unataka kwenda?”
“Hapana nimestuka kwa maana na kumbuka muda
ninajilaza kwenye kochi ilikuwa ni saa tatu”
 “Ohoo basi umelala sana na umezidiwa na
usingizi. Sasa wewe kunywa chai mimi nimekinga
 ndoo za maji kwenye mvua huko, ngoja
 nikazitazame”
Mama Mariam, ambaye ndio mama mwenye
 nyumba yetu, akanibusu shavuni mwangu na
kutoka ndani kwangu, huku akichungulia kwenye
korido kama kuna mtu kisha akatoka.

Nikafunua
 sahani iliyo mezani mwangu, nikakuta soseji
zipatazo kumi pamoja na yai moja la kuchemsha
huku chapati mbili kubwa zikiwa chini ya vitu
 hivyo.
Nikafungua chupa ya chai nikachungulia na kukuta
ni chai ya maziwa, nikajinyoosha vizuri na
kuuweka mwili wangu sawa. Nikanyanyuka na
kuchukua kikombe changu cha udongo na
kumimina chai hiyo huku maswali nikijiuliza ni kwa
nini Mama Mariam alikuwa katika hali ile.
“Atakuwa ni mgonjwa?”
 Nilijisemea mwenyewe huku nikiendelea kutafuna
kipande cha chapati. Sikutumia muda mwingi kula
chakula hicho nilipo hakikisha nimeshiba kabisa,
soseji zilizo baki nika ziweka kwenye friji.

Taulo
ambalo nilimfutia mama Mariam damu na mapovu
 sikuliona na kunifanya nichukue taulo jingine
lililomo kwenye kabati. Nikajifunga kiunoni vizuri
kisha nikachukua mswaki wangu na kuuweka dawa ya kutosha. Nikachukua soap dish na kuelekea
bafuni kuoga.
Maji ya mvua yalioyo nimwagikia nikielekea bafuni,
 ambapo ni hatua chache kutoka ilipo nyumba
kubwa tunayo ishi wapangaji, yakanifanya moja
kwa moja kuanza kuoga kwa haraka huku nikipiga
mswaki. Nikamaliza kufanya shuhuli iliyo nipeleka
 humo, nikajifunga taulo langu na kutoka, nikiwa
ninatoka nikakutana na Asma, mke wa mmoja wa
 wapangaji wezangu akiwa amejifunga kanga moja
 iliyo lowa maji na kumshika mwili wake vizuri.

“Za sahizi Dany?”
“Safi za kuamka”
 Nilirudisha salamu hiyo huku tukiwa tumejibanza
 kwenye uzio wa bati la bafu hilo huku pembeni yake
 kukiwa na choo.
 “Naona unaogopa kupita”
“Ahaaa nimesha oga sasa hata ikininyeshea sio
 tatizo”
“Mimi imeniyeshea nilikuwa ninakinga ndoo zangu
 nimemaliza”
“Ahaa haya baadaye”
 Nikajitosa kwenye mvua hiyo na kukimbilia kwenye
nyumba kubwa na kumuacha Asma akiingia bafuni
 na yeye.

Nikaingia ndani kwangu, nikafungua kabati
 langu la nguo na kuchukua boksa pamoja na
 suruali yangu, nikavaa. Simu yangu iliyopo
mezani, ikaanza kuita na kunifanya nisitishe zoezi
 la kuifunga zipu ya suruali yangu niliyo ichukua.
Nikaisogelea na kusoma jina la nani anaye piga
 nikakuta jina nililo lisave K2. Nikaichukua simu
 yangu na kuipokea.
 “Halooo Dany”
 Sauti nyororo ikasikika, sikushangaa sana kwa
maana ndio kawaida ya K2 mwanamama ambaye
 siku zote ametokea kuniletea vituko nilivyo jitahidi
kuvikwepa kwepa kutokana nina muheshimu kama
mkuu wangu wa kazi.

“Shikamoo”
 “Ahaa Dany ni mara ngapi huwa ninakueleza
usinisalimie”
“Sawa mambo vipi?”
“Safi, upo wapi?”
 “Nipo nyumbani nimepumzika”
“Nipo mtaa wa jirani na hapa kwako, sasa nahitaji
 kuja kwako nikupitie twende sehemu moja kikazi”
“Sehemu gani mama?”
“Utapajua, nipe dakika tano nitakuwa nimefika
 hapo”
 “Sawa mama”
Nikakata simu huku nikiachia msunyo mkali, nahisi
 kama kuna mtu anapita nje ya chumba changu
 basi msunyo huo atakuwa ameusikia barabara.

Sikuwa na jinsi zaidi ya kujiandaa kwa ajili ya kazi
hiyo anayo sema mkuu wangu kwa maana siku
 zote kazi yangu huwa haina ruhusa ya kupinga,
nikachukua bastola yangu ninayo iweka chini ya
gorodo, nikatoa magazine na kukuta ina risasi za
kutosha, nikaichomeka kiuononi na kuifunika na
 tisheti niliyo ivaa. Kitendo cha kumaliza kuishusha
tisheti yangu na kuifunika bastola hiyo vizuri, simu
yangu ikaita na kukuta ni K2, nikaipokea.

“Nipo nje”
“Sawa natoka”
 Nikazima tv, kisha nikatoka na kufunga chumba
 changu vizuri, nikiwa ninamalizia kukifunga
chumba changu vizuri nikakutana na mama
Mariam akiwa anatoka chumbani kwake.

“Wapi tena”
“Kuna sehemu ninaelekea mara moja”
“Na mvua hihi?”
 “Hapana ninakwenda na gari, bosi wangu amekuja kunipitia”
“Ahaa sawa, utarudi au ndio……?”
 “Sijajua, kusema kweli”
 “Ok basi taulo lako nimekufulia, nimelianika kule
nyuma”
 “Ahaa sawa mama”

Honi ya gari ikasikika na kunifanya nitoke na
 kumuacha mama Mariam akiwa ananitazama kwa
 macho ya matamanio, nikatoka nje na kukuta gari
 la kifahari aina ya Range Rover Sport, lenye rangi
 nyeusi tii, likiwa limesimama. Nikatoka na
 kukimbilia kwenye gari hilo kutokana na mvua,
nikaingia ndani ya gari hilo, kitu nilicho kutana
 nacho ni harufu nzuri ya manukato yaliyo
iburudisha pua yangu.
Nilipo funga mlango tu K2 akanivuta karibu na
kunipiga busu la shavu, nikabaki nikiwa
 ninamkodolea macho bosi wangu huyu ambaye
 kusema kweli leo ametupia mavazi ya kisichana
kabisa kwa maana ni mara nyingi ofisini huwa
 anavalia suti tu.

“Maana yake ni nini bosi?”
Nilimuuliza huku sura yangu nikijaribu kuikunja
kidogo.
 “Usijifanye ufahamu Dany wewe sio mtoto”
“Hata kama bosi, hili jambo lina maridhiano”
“Ni mara ngapi huwa ninakueleza na unanichenga
 chenga kama Ronaldo”
 Sikuwa na la kujibu zaidi ya kukaa kimya, kwani
bosi wangu huyu ni mtu wa hasira na wa
 kukasirika mara kwa mara. Gari ikaingia barabarani
huku sote tukiwa kimya, kwa jicho langu la kulia,
 kupitia kona ya pembeni nikawa ninayatazama
mapaja ya K2, jinsi yalivyo nona, na jinsi kisketi
 kifupi alicho kivaa kweli nikaamini huwa masuti ya
 suruali anayo yavaa yanaficha mambo mengi.

“Umekula?”
“Ndio”
 “Umekula saa ngapi wakati huna mke wa kukupikia
 wewe?”
“Huwa napika mwenyewe”
“Acha uongo Dany mara nyingi huwa nakuonaga
 una agiza agiza chakula ukiwa ofisini”
“Umesha sema ofisini ni tofauti na nyumbani”
 “Ok basi tupitie hapa tupate chakula kisha
tutaelekea kwenye hiyo kazi”
“Ila bosi hujaniambia ni kazi gani?”
“Wewe twende utaiona”

Tukaingia kwenye moja ya mgahawa wa kisasa,
 tukatafuta sehemu na kukaa. Muhudumu akaja na
kutuhudumia kitu ambacho tunakihitaji, alipo ondoka
 tukawa tunatazamana na K2.
 “Hivi Dany unajua wewe ni mzuri sana”
“Ahaaa hamna kitu kama hicho. Mwanaume siku
zote hasifiwi uzuri”
“Ila anasifiwa nini?”
 “Kazi na kitandani”
 Nilizungumza neno la utani, lililo mfanya K2
 kuangua kicheko kidogo huku akinitazama usoni.

“Kitandani unaweza wewe?”
 “Siwezi chochote”
“Acha utani Dany, alafu nyinyi watoto wa kitanga
nasikia muna tom** kama nini”
“Ahaaa hakuna kitu kama hicho”
 “Si ndio maana vile vibinti vilivyo toka mafunzoni
 vinawapapatikia, wangejua wananikera,
nitawahamisha vitengo wote wale”
 “Sasa uwahamishe kisa nini?”
 “Ahaa tuyaache hayo”

Muhudumu akaweka chakula tulicho kiagiza,
 haraka haraka tukala, K2 akalipia chakula tulicho
kula kisha tukaondoka kwenye mgahawa huo.
 Safari ikaanza na kuelekea sehemu ambayo K2 kila
nilipo mueleza ni wapi tunapo kwenda hakuweza
kuniambia zaidi ya kuniambia kwamba nisubirie.
Tukafika kwenye moja ya jumba kubwa la kifahari,
 K2 akatoa rimoti na kuminya akiielekezea kwenye
geti hilo, likafunguka akaingiza gari na kuminya
 tena rimoti ndogo na geti hilo likafunga, kwa akili
ya haraka nikagundua hapa ni kwake, japo
 napafahamu sehemu nyingine anapo ishi.

“Dany karibu”
 K2 alizungumza huku akishuka kwenye gari, na
mimi nikashuka tukakimbia hadi kwenye mlango,
 ili kuikwepa mvua ambayo tangu asubuhi
 haijakata. Akafungua mlango na kuingia kwenye
 jumba hilo ambalo kusema kweli ni zuri na inavyo
onekana ni nyumba mpya kabisa.

“Dany hapa ni kwangu, karibu sana”
 “Ehee hili jumba umelijenga lini?”
“Ahaa hii ni nyumba yangu ya siri, hakuna mtu
 anaye jua hapa wewe ndio wa kwanza kukuleta
 hapa ukapafahamu”
 “Hongera mwaya, kweli wewe una haki ya kuitwa
 bosi”
 “Acha hizo, njoo huku nikuonyeshe”
K2, mwanamama mrefu kiasi mwenye umbo la
 mazoezi ila mwenye mapaja manene yaliyo beba
kalio kubwa kiasi pamoja na rangi yake ya weusi
wa asili inamfanya kuonekana mzuri na kijana
zaidi.

Tukapanda gorofani kwenye sebule kubwa
yenye masofa ya kifahari.
“Hii ni sebule ambayo nitakuwa ninapumzikia”
“Duuu ipo vizuri sana”
“Dany njoo”
Nikazidi kumfwata kwa nyuma K2, tukaingia
 kwenye chumba kikubwa chenye kitanda kikubwa.
 K2 akanigeukia na kunitazama kwa macho
 malegevu yanayo ashiria kuhitaji kitu kutoka
kwangu.

“Dany ubosi uweke pembeni, nina kitu nina hitaji
 kukuambia”
“Kitu gani?”
“Ndoa yangu haina furaha kabisa, ndoa yangu ina
nichosha sana, mume wangu hana uwezo wa
kuifanya ku*** yangu kuridhika”
 “Ina maana mume wako jogoo hasimami?”
 “Sina maana hiyo, yaani amekubwa bonge
anakwenda bao moja na kulala, na bao lenyewe
 linachukua dakika tano akijitahidi ni nane
 anamwaga”
 “Mmmmm pole”
 “Yaani hali hiyo imekuwa ikitokea zaidi ya miaka
 sita sasa, navumilia inafika kipindi nachoka, na
 mimi natamani nifike kileleni ila ndio hivyo bwana
baba hana uwezo”

K2 alizungumza huku akinisogelea, akanikumbatia
 huku machozi yakimlenga lenga. Joto lake la mwili
 na maziwa yake yaliyo simama yakanifanya
 nimkumbatie vizuri pasipo kipingamizi,
nikaishusha mikono yangu hadi kwenye makalio
 yake na kuyaminya kwa nguvu na kumfanya
anyanyuke kidogo huku akitoa muhemo fulani ulio
 nizidisha kuyaminya makalio yake.
 “Oooo touch my butty”
K2 alizungumza huku akaizidi kunikumbatia,
nikafungua zipu ya kigauni chake alicho kivaa,
 nikaupitisha kiganja changu cha mkono wangu wa
kulia kiunoni mwake, nikakutana na wingi wa
 shanga, tayari jogoo wangu ambaye alimsulubisha
mama Mariam aliye anza kuwika na kumfanya K2
 kujitingisha tingisha mapaja yake na kumsugua
 sugua jogoo wangu ambaye anatamani kutoka
hata sasa nje ya suruali yangu ila nimemfanya awe
 mvumilivu katika hilo.

“Dany”
“Mmmmmm”
 “F*** me please”
 K2 alizungumza huku akishusha kijisketi chake
kwa haraka, akabakiwa na bikini pamoja na kishati
 alicho kivaa kwa juu. Kwa jinsi kitumbua chake
kilivyo tuna kweli kinaonekana kina guswa guswa
na hakiliwi vizuri. Nikavua suruali pamoja na
boksa, bastola nikaitupia pembeni.

“Waoooo, i like your cork”
“Really”
“Yeaah”
 K2 akapiga magoti na kumnyonya kwa dakika
kadhaa jogoo wangu, kisha akainama na kujipaka
 mate kidogo kwenye kitumbua, taratibu nikaanza
kumuingiza jogoo wangu ashuhulikie kitumbua cha
K2.

Mapokezi ya K2 yakanishangaza sana ambayo
 ni tofauti na wanawake wote nilio wahi kuwapitia
kwani wengi wao waliweza kulia ila K2 akafurahi
 jinsi joogoo wangu anavyo zama. Sikuona hata
 akibabaika wala kuugulia maumivu ila alicho
kifanya yeye ni kutoa miguno ya raha huku
 akimkatikia.
“Ohoo Dany jogoo wako mtamu”
“Kweli?”
Nilizungumza huku nikizidisha kasi ya
 kukishambulia kitumbua hicho kinacho nipa utamu
ambao sikuwahi kuupata. Gafla K2 akamchomoa
 jogoo wangu na kumuingiza mk** mwake.
 “Ohhh Dany F*** my ass”
“Siwezi fanya hivyo”
Nilizungumza huku nikimchomoa, ila K2 akazidi
 kurudi nyuma na kumfanya jogoo wangu azidi
 kuingia ndani ya mk** wake.
ITAENDELEA
NGUMU KUMEZA SEHEMU YA 03

AU

NGUMU KUMEZA;(18+)   Sehemu ya 01

SIMULIZI HII NI KWA WASOMAJI WENYE UMRI ZAIDI YA MIAKA 18. HAKI ZOTE ZIMEHIFADHIWA. USIKOSE SEHEMU YA 03 YA KISA HICHI CHA KUSISIMUA. INAPATIKANA PIA KWENYE GROUP ZA WHATSAPP NA FACEBOOK

Chapisha Maoni

Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.